Madhara Ya Mapenzi Ya Aina Hii,.

ahsante mkuu ndiyo nataka kujua namna gani nitamuelezea anielewe bila kumuumiza,..

ukweli ni kwamba lazima aumie na nibora ukamueleza leo kulko kumdanganya na akigundua maumivu yake ni makubwa zaidi ya unavyo fikiria
 
ahsante mkuu ndiyo nahitaji ushauri wa wadau hapa,..

Tafuta muda mchukue mwende sehemu ilipo tulia, kisha anza kumueleza taratibuu vile ww unajisikia juu ya uhusiano wenu
Ongea nae vizuri, kwa upendo pasipo kuonesha lugha chafu au dharau, itamuuma lkn atakuelewa,
 
mkuu mbona kama hujui unachokitaka katika mapenzi?
kwani wewe huitaji kupendwa?Golden chance never come twice ,huyo ndo wife material
 
Iloo! bado unamtaka!!!
Kujishembedua tu! lol!
...
Ebbos! Kwani nitamuambia kama nö umenipa wewe?
Au mi jambazi?
...
Nitajifanya nimekosea namba!
Alah! Wewe haumtaki tupe tunaomtaka ili tumliwaze!
Chezea Mashaxizo weyee!

nipe ya kwako,..
 
we nae ukoje unatongoza kwa kutokupenda vipi wewe? sasa ona unataka kumuumiza binti wa watu tena mwache mapema mtoto wa watu awakubalie wengine wanaomtongoza kuliko kujiaminisha ana mtu kumbe amna mtu.. sawa ....
 
we nae ukoje unatongoza kwa kutokupenda vipi wewe? sasa ona unataka kumuumiza binti wa watu tena mwache mapema mtoto wa watu awakubalie wengine wanaomtongoza kuliko kujiaminisha ana mtu kumbe amna mtu.. sawa ....

ndiyo hivyo nishajikwaa mkuu,..
 
mkuu mbona kama hujui unachokitaka katika mapenzi?
kwani wewe huitaji kupendwa?Golden chance never come twice ,huyo ndo wife material

mwekundu yani unaona amuoe alafu akamtese mtoto wa watu....... mwanaume anapenda ..... ila mwanamke anajifunza kupenda saw,,,,,,,,,,,

shikamoo mwekundu!!!
 
ndiyo hivyo nishajikwaa mkuu,..

sasa fanya maamuzi mapema mwache ...... ili apate mda wa kukubali wengine,.... kwa sababu wewe unamdanganya hadi kumwita mke wangu unamwita .... mtoto wa watu anajua anamume kumbe hana unafanya maigizo...
 
nipe ya kwako,..

Hahahahaaaa! Chakii leo unalo!
...
Sasa nö zangu wewe za nini?
Au wanitaka?
...
Usiseme umpe huyo ke! Sitaki kuunganishiwa! Naunganisha menyewe!
...
Nipe bhana!
 
Hahahahaaaa! Chakii leo unalo!
...
Sasa nö zangu wewe za nini?
Au wanitaka?
...
Usiseme umpe huyo ke! Sitaki kuunganishiwa! Naunganisha menyewe!
...
Nipe bhana!

nipatie ya kwako nimpatie, unahofia nini mkuu,..
 
Iloo! bado unamtaka!!!
Kujishembedua tu! lol!
...
Ebbos! Kwani nitamuambia kama nö umenipa wewe?
Au mi jambazi?
...
Nitajifanya nimekosea namba!
Alah! Wewe haumtaki tupe tunaomtaka ili tumliwaze!
Chezea Mashaxizo weyee!

ati "iloo"...halafu wewe mgomvi
 
unataka kujua ikusaidie nini mkuu,.

Jikite kwenye mada, kama huna cha kuchangia potezea watachangia wengine!!!
Ninayo mengi ya kuchangia, mkuu.. Tatizo langu ni pale mwanafunzi wa MD anapoomba msaada eti ameshindwa kutatua tatizo dogo kama hili. Au wakupeleke kozi ya clinical officer kwanza?
 
mi naona kinachokufanya udai eti hujampenda kutoka moyoni ni hilo suala la kubakwa. Mdogo wangu, kwa kuwa hadi sasa ni kwamba unampotezea muda dada wa watu, na huna mapenzi naye,nadhani hujachelewa sana, muache tu ili usiendelee kumpotezea muda. Mwambie ukweli kwamba HUNA MAPENZI NAYE YA DHATI....ila kumbuka pia what goes around, always comes back around...
 
Ninayo mengi ya kuchangia, mkuu.. Tatizo langu ni pale mwanafunzi wa MD anapoomba msaada eti ameshindwa kutatua tatizo dogo kama hili. Au wakupeleke kozi ya clinical officer kwanza?

maswali yako sijajua yanalenga nini mkuu,..

Ina maana watu tusiombe ushauri humu jamvini kwa sababu zako ulizozisema?

Maswali yako nitayajibu nikiyapatia muda mkuu maana naona unatoka nje ya mada!!!
 

Hebu waza tena na ufikiri usije kuja tena kuomba ushauri wa kurudiana nae.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…