Manguson
Member
- Jul 5, 2013
- 15
- 3
Mama mmoja alibakwa na jamaa fulani akachukua hatua ya kumfungulia mashtaka gerezani huyo jamaa,kesi ikaanza kama ifuatavyo;
Hakimu:mama naomba uileze mahakama kinagaubaga malalamiko yako
Mama:mheshimiwa huyu baba alinioa juzi usiku
Hakimu:mshtakiwa,una la kusema?
Mshtakiwa:ndio mheshimiwa hakimu,huyu mama nilikua nimemuoa,kutokana na kutoelewana niliachana naye
Hakimu:mtuhumiwa,mahakama imefuta kesi yako baada ya kukuta hauna hatia.
NI NINI MAONI YAKO KWA HUYU MAMA?
Hakimu:mama naomba uileze mahakama kinagaubaga malalamiko yako
Mama:mheshimiwa huyu baba alinioa juzi usiku
Hakimu:mshtakiwa,una la kusema?
Mshtakiwa:ndio mheshimiwa hakimu,huyu mama nilikua nimemuoa,kutokana na kutoelewana niliachana naye
Hakimu:mtuhumiwa,mahakama imefuta kesi yako baada ya kukuta hauna hatia.
NI NINI MAONI YAKO KWA HUYU MAMA?