Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Wana JF haya ni baadhi ya madhara ya kujichua kama unayo na wewe umaweza ukatushirikisha.
1. Mtu aliyezoea kujichua huwa anaathirika kisaikologia wanapokutana na mwenzi wake huwa hapati raha kamili. Vilevile wakiwa kwenye uwanja na mpenzi wake hawezi kufanya vizuri mpaka avute hisia au picha ya mtu mwingine.
2. Mishipa ya mpini huregea na baada ya mda jogoo anaweza kuwa hawiki.
3. Madhara ya kemikari zinazotumika wakati wa kujichua kinaweza kikaathiri kiafya na matokeo yake inaweza ikasababisha ugonjwa wa kisukari.
Ndugu kama na wewe unajua madhara tuletee hapa tujue.
1. Mtu aliyezoea kujichua huwa anaathirika kisaikologia wanapokutana na mwenzi wake huwa hapati raha kamili. Vilevile wakiwa kwenye uwanja na mpenzi wake hawezi kufanya vizuri mpaka avute hisia au picha ya mtu mwingine.
2. Mishipa ya mpini huregea na baada ya mda jogoo anaweza kuwa hawiki.
3. Madhara ya kemikari zinazotumika wakati wa kujichua kinaweza kikaathiri kiafya na matokeo yake inaweza ikasababisha ugonjwa wa kisukari.
Ndugu kama na wewe unajua madhara tuletee hapa tujue.