Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #21
Kutofanya zinaakusaidia kutopatwa na wewe maradhi.Ila haifai kupiga punyeto kuna madhara makubwa katika kupigapunyeto mkuu@BOWTHRUSTERMkuu Mzizimkavu darasa zuri sana,vipi kuhusu mwanaume ambaye hajaoa kwa sababu uchumi mbovu,na pia hapendi zinaa,nini madhara yake kiafya?