Madhara ya dawa ya kuzuia mimba P2

kwa kifupi hana dawa ya kiwandani isiyo na madhara....kitaalimu sijui inaleta madhara gani ila kuna madhara.

ushauri msitumie, tumie condom, toa nnje au kalenda
 
Tumia kwa emergency tuu usipende mara kwa mara zitakuharibia mzunguko wako na utashindwa elewa kabisa pia inaweza sababisha hormone zako kufanya kazi pasipo utaratibu maalum na kazi husika
 
We p2 sio dawa nzuri dada usije juta baadae kama uliitumia mara moja iwe mwanzo na mwisho....
Khaaa tumia njia nyingine... aiseee
Manka em fafanua zaidi hp side effects ni ninii
 
P2 ni za emergency tu. Zina mtindo wa kupeleka period mbele hata 2 months.

Na hii P2 inafanya kazi ndani ya muda gani baada ya tendo husika mkuu.

Yani, baada ya muda gani kupita inakuwa haiwezi kufanya kazi kiongozi...?

Nadhani nimeeleweka mkuu.
 
Na hii P2 inafanya kazi ndani ya muda gani baada ya tendo husika mkuu.

Yani, baada ya muda gani kupita inakuwa haiwezi kufanya kazi kiongozi...?

Nadhani nimeeleweka mkuu.
Within 72 hours of unprotected sex,yani ndani ya siku 3/masaa 72
 
Within 72 hours of unprotected sex,yani ndani ya siku 3/masaa 72

Ooh okay, thanks mwaya.

Kwa hiyo baada ya siku tatu kupita inabidi zoezi jingine mbadala lifanyike, right...?.

Haya mambo haya aisee.
 
Ooh okay, thanks mwaya.

Kwa hiyo baada ya siku tatu kupita inabidi zoezi jingine mbadala lifanyike, right...?.

Haya mambo haya aisee.
Zoezi mbadala kama ilikua 'danger days',otherwise confirmation utapata baada ya mwezi mmoja,ikitiki mjiandae kulea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…