hopetumaini
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 528
- 316
Haswaa sio za kuzizoeaTumia kwa emergency tuu usipende mara kwa mara zitakuharibia mzunguko wako na utashindwa elewa kabisa pia inaweza sababisha hormone zako kufanya kazi pasipo utaratibu maalum na kazi husika
Manka em fafanua zaidi hp side effects ni niniiWe p2 sio dawa nzuri dada usije juta baadae kama uliitumia mara moja iwe mwanzo na mwisho....
Khaaa tumia njia nyingine... aiseee
P2 ni za emergency tu. Zina mtindo wa kupeleka period mbele hata 2 months.
Within 72 hours of unprotected sex,yani ndani ya siku 3/masaa 72Na hii P2 inafanya kazi ndani ya muda gani baada ya tendo husika mkuu.
Yani, baada ya muda gani kupita inakuwa haiwezi kufanya kazi kiongozi...?
Nadhani nimeeleweka mkuu.
Within 72 hours of unprotected sex,yani ndani ya siku 3/masaa 72
Zoezi mbadala kama ilikua 'danger days',otherwise confirmation utapata baada ya mwezi mmoja,ikitiki mjiandae kuleaOoh okay, thanks mwaya.
Kwa hiyo baada ya siku tatu kupita inabidi zoezi jingine mbadala lifanyike, right...?.
Haya mambo haya aisee.
Zoezi mbadala kama ilikua 'danger days',otherwise confirmation utapata baada ya mwezi mmoja,ikitiki mjiandae kulea
Ulifanya unprotected sex?Achana na hiyo kitu..
Mara baada ya kutumia imenisogezea mp siku 12 Mbele saa hizi hata sielewi Nina mzunguko wa siku ngapi.
Ulifanya unprotected sex?
Okey nimekuelewa kuteleza ndo mpango mzima nani hapendi utamu.Why protected sex?!