Madhara ya chumvi nyingi ni yapi?

Thinker2

Member
Jan 4, 2012
8
0
Wana Jf naomba ushauri,mi tatizo langu ni kutumia chumvi nyingi kuliko kawaida yaani msosi ukifika mezani naongezea kabla ya kuonja...!?.Bila shaka ingekuwepo tuzo ya watumiaji chumvi ningechukua Afrika mashariki na kati,Record niliyoiweka nilikuwa naweka chumvi kwenye chapati za kusuma mezani...!?
Naomba nijue madhara na jinsi ya kuacha...
 
Back
Top Bottom