ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
fikiria kabla ya kujibu usilete utoto wako hapa majbu yako peleka fesibuku.
utoto gani? Juzi kaja mmoja anomba ushauri eti alikuwa barric, kaamua kuwatosa anahamia kwingine lakini anakohamia napo hawaoneshi kumwita. mie nilimwambia siku zao zinahesabika, kwani wafanyakazi watanzania migodini, ndio wanaofanikisha uporaji wa madini yetu. Biohazad anataka kujua kama mleta mada akipewa kazi atakataa. nami nakugeukia wewe, ukipewa kazi utakataa? wacha utoto, jibu maswali