Madhabahu yenye nguvu za Mungu

Madhabahu yenye nguvu za Mungu

Rebuke

Senior Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
167
Reaction score
49
Je kwa eneo la dar es salaam ni sehemu gani kuna kanisa lenye nguvu za Mungu?? Ninaamini katika neno na matendo makuu ya Mungu, ila neno kavu kavu sitaki maana naamini Mungu bado anazungumza na anatenda hadi sasa. Kama nitapata maeneo karibu na kijitonyama itapendeza zaidi
 
Je kwa eneo la dar es salaam ni sehemu gani kuna kanisa lenye nguvu za Mungu?? Ninaamini katika neno na matendo makuu ya Mungu, ila neno kavu kavu sitaki maana naamini Mungu bado anazungumza na anatenda hadi sasa. Kama nitapata maeneo karibu na kijitonyama itapendeza zaidi
Nenda KKKT Kijitonyama kwa Mtumishi wa Mungu Eliona Kimaro ukakutane Na utukufu wa Bwana
 
Je kwa eneo la dar es salaam ni sehemu gani kuna kanisa lenye nguvu za Mungu?? Ninaamini katika neno na matendo makuu ya Mungu, ila neno kavu kavu sitaki maana naamini Mungu bado anazungumza na anatenda hadi sasa. Kama nitapata maeneo karibu na kijitonyama itapendeza zaidi
Tangu lini Kanisa lina nguvu za Mungu?
 
Je kwa eneo la dar es salaam ni sehemu gani kuna kanisa lenye nguvu za Mungu?? Ninaamini katika neno na matendo makuu ya Mungu, ila neno kavu kavu sitaki maana naamini Mungu bado anazungumza na anatenda hadi sasa. Kama nitapata maeneo karibu na kijitonyama itapendeza zaidi
Wewe kwani kanisa gani?Acha uchizi basi!
 
Nenda tabata relini kwa mchungaji Ron swai..kanisa linaitwa DCT.(Dar Calvary center)pale hutoki kapa labda kama Ni mgeni na unachoulizia...
 
Back
Top Bottom