Dah!
Kweli Watz bado tuna safari ndefu sana katika kampeni ya TULIZANA.
Maana hapo nina uhakika mleta mada nyumbani ameacha aidha mke,mpenzi au mchumba na bado huko tena anatafuta mwingine.
Ila huo ni uhuru wako binafsi, ngoja wenzio waje kukusaidia.
mke na watoto......
Familia yooote inamtegemea yeye.......
afu huku anaasema anatafuta kipozeo...........
Vipozeo nao wana kazi jamani!!!!!!!
ebwana naomba mnisaidie maeneo naweza kupata kipozeo i mean sex plzzzz hali ni mbaya sana na baridi