Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,825
Serikali inakusudia kupeleka mswaada bungeni wa madereva wanaoendesha magari makubwa ya mizigo pamoja na abiria, wawe ni wenye umri wa kuanzia miaka 45
Hayo yameswemwa na waziri wa ujenzi na uchukuzi mhandisi Kamwelwe alipokuwa akikagua mradi wa ujenzi wa barabara jijini mbeya.
Chanzo ITV
Hayo yameswemwa na waziri wa ujenzi na uchukuzi mhandisi Kamwelwe alipokuwa akikagua mradi wa ujenzi wa barabara jijini mbeya.
Chanzo ITV