Madereva boda boda ndo wame muua Mashali...

Ungeweka alama ya kuuliza kwenye kichwa cha thread yako ingekuwa na maana kubwa

Yaani wewe kusikia tu sijui mtoto kahojiwa azam umekuja na hitimisho madereva wa bodaboda ndio wamemuua

Tupende kujipa muda kufanya uchunguzi na kuviachia vyombo husika kufanya kazi yao

Habari yenyewe imejaa utata mara kapigwa risasi,mara kavamiwa Bar mara kampiga bodaboda ........

Ikithibitika sio bodaboda wamemuua uje pia na uzi hapa kuwaomba radhi
 
Inasikitisha sana Watanzania tumekuwa wakatili sana ,kupiga watu bila hata kusikiliza pande mbili
 
Kumbe ni dereva boda boda ndo wamemua huyu Mashali
wamebishana bei ..yeye anataka kulipa 2000 ..bodaboda anataka 3000

Jamaa akiwa kalewa pia akaleta ubabe..akampiga dereva bodaboda hadi chini..

dereva akaiita mwizi....naona watu wakadhani ni mwizi wa bodaboda..
wenzie wakamvamia na kumpiga.....

source ni mwanae ambae anasema maelezo hayo amepewa na baba yake
alipomuuliza chanzo kabla hajafa....amehojiwa na Azamm Two


binafsi naona na hospitali zetu nazo zime changia vifo aina sana tu
Angalau hili linaingia akilini kidogo!
 
Umeuliza swali la msingi sana,maana kwa levo zake sio wakukosa usafiri.
nadhani sababu kubwa haswa ya hawa baadhi ya celebrities kukosa usafiri ni kutokana na nchi yetu yenyewe kuwa third world country ivoo ataa baadhi ya celebrities wetu wako kimasikini masikini tuu....hivi vitu vya celebrities kutokuaa na usafiri binafsi huwezi visikia first world countries.....tanzania nchi ya amani
 
Iv kumbe ukiwa na usafiri wako binafsi hakuna siku ambayo utapanda bajaji, daladala, au bodaboda? Ha ha ha wabongo bhana mashali ana ndinga kali tu ila akijua anaenda kugambeka ua anaicha...
 
Kuna bandiko humu marehem alibadili dini kuwa muislam ss unaposema alikua amelewa sijakuewa. Vizuri
 
Hawa mabondia wanashangaza ukiwauliza unalipwa sh ngapi kwa pambano utasikia milioni 9
niliwahi muuliza mtu wa karibu na cheka akanijibu milioni 9
halafu ukute huyo cheka hata baiskeli hana
Marehemu alikuwa hana usafiri binafsi? R.I.P !
kwani mkuu ukiwa na gari unakuwa nalo mda wote,mfano unaenda piga pombe afu utembee na gari,itakuweje kama unajijua unatakuwa tilalila
 
Kumbe ni dereva boda boda ndo wamemua huyu Mashali
wamebishana bei ..yeye anataka kulipa 2000 ..bodaboda anataka 3000

Jamaa akiwa kalewa pia akaleta ubabe..akampiga dereva bodaboda hadi chini..

dereva akaiita mwizi....naona watu wakadhani ni mwizi wa bodaboda..
wenzie wakamvamia na kumpiga.....

source ni mwanae ambae anasema maelezo hayo amepewa na baba yake
alipomuuliza chanzo kabla hajafa....amehojiwa na Azamm Two


binafsi naona na hospitali zetu nazo zime changia vifo aina sana tu
hospitali inahusikaje hapo?
 
Hio ndo ilikuwa siku yake ya mwisho alioandikiwa,,apumzike kwa amani,,hii Habari ni ya kweli.Wanasema alikataa kulipa kabisa na akawatandika makonde aliembeba na Bodaboda Pamoja na wengine waliomtetea huyo dereva Bodaboda..
 
Mabondia wote wanaishi maisha ya kuunga unga

Mchumiatumbo ambae ndo heavyweight champion wa Tz anabeba lumbesa soko la Tandika hadi leo
100_4301.JPG

DSC_0234.JPG
 
Hawa mabondia wanashangaza ukiwauliza unalipwa sh ngapi kwa pambano utasikia milioni 9
niliwahi muuliza mtu wa karibu na cheka akanijibu milioni 9
halafu ukute huyo cheka hata baiskeli hana
Kwani anapigana kila wikiendi na kulipwa hiyo 9 mil?
 
Hawa mabondia wanashangaza ukiwauliza unalipwa sh ngapi kwa pambano utasikia milioni 9
niliwahi muuliza mtu wa karibu na cheka akanijibu milioni 9
halafu ukute huyo cheka hata baiskeli hana
Ni kweli,but kuhusu cheka kidoogo ameshtuka,nadhani ni mwaka jana tu hapa alinunua kama hiace tatu mpya na akazitupia route ya Moro-Gairo!
 
Sema nae marehemu alikuwa mbabe anakuomba ela ukimnyima unakula ngumi
 
Alafu tunajinasibu hii nchi ya Amani,

Kwa nini wasimpeleke polisi sheria ichukue mkondo wake,

Tatizo ni kujichukulia sheria mkononi.
 
Hawa dereva wa bodaboda wakikuitia mwizi tu ujue umekufa
Kuna umoja wa aina nyingi sana. Lakini umoja wa waendesha boda boda unaongozwa kwa jazba mara nyingi.

Maeneo ya Kimara Bucha, niliwahi shuhudia Boda boda kajiingiza ktk semi la Azam, dk 1 haikufika, wamejaa wameizunguka.

Salama ya dereva ilikuwa jamaa mmoja shombe shombe alikuwa pamoja na dereva, alitoa MGUU WA KUKU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom