msaranga1
JF-Expert Member
- Feb 24, 2013
- 323
- 259
Mwanafunzi wa darasa la pili alimuuliza mwalimu wake: hivi ukichanganya OMO na FOMA zitatoa POVU?. Mwalimu
akajibu kwa hasira: swali gani hilo la KIPUUZI? Lazima zitatoa POVU kwa sababu zote ni SABUNI. Mwanafunzi akamjibu: sasa wewe ndiye una majibu ya KIPUUZI. Zitatoaje POVU wakati haujaweka MAJI?
akajibu kwa hasira: swali gani hilo la KIPUUZI? Lazima zitatoa POVU kwa sababu zote ni SABUNI. Mwanafunzi akamjibu: sasa wewe ndiye una majibu ya KIPUUZI. Zitatoaje POVU wakati haujaweka MAJI?