Madensa wa zamani

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,216
113,519
Nani anawakumbuka wale madensa wa zamani waliotamba miaka ile ya 80 mwishoni?

Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.

Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.

Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).

Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.

DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?

Damn I miss those days....
 
Nani anawakumbuka wale madensa wa zamani waliotamba miaka ile ya 80 mwishoni?

Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.

Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.

Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).

Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.

DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?

Damn I miss those days....

Haha ha haa unamkumbuka Digadiga sio?
alikuwa mbabe ingawa dansa lol
kuna siku aalimbonda promota..

Enzi za Billicanas kuitwa Mbowe...
na hoteli ya Skyway?
hukumbuki cinema NN?
New chox?drive inn?
empire?
enzi hizo ukikutana na watu Samora Avenue unakuwa wamevaa nguo za sikukuu lol
siku hizi full vurugu lol
 
Haha ha haa unamkumbuka Digadiga sio?
alikuwa mbabe ingawa dansa lol
kuna siku aalimbonda promota..

Enzi za Billicanas kuitwa Mbowe...
na hoteli ya Skyway?
hukumbuki cinema NN?
New chox?drive inn?
empire?
enzi hizo ukikutana na watu Samora Avenue unakuwa wamevaa nguo za sikukuu lol
siku hizi full vurugu lol

Mi nilikuwa napenda kwenda Avalon na Empress. Unazikumbuka hizo theaters Boss?

Pale Avalon kulikuwa na kisehemu jirani kilikuwa kinauza ice cream tam kichizi....unapakumbuka hapo Boss?
 
Mi nilikuwa napenda kwenda Avalon na Empress. Unazikumbuka hizo theaters Boss?

Pale Avalon kulikuwa na kisehemu jirani kilikuwa kinauza ice cream tam kichizi....unapakumbuka hapo Boss?


Nakumbuka sana
Avalon ndo ilikuwa ya mwisho kufa.....
dah those days jiji halina foleni wala misongamano lol
 
Nani anawakumbuka wale madensa wa zamani waliotamba miaka ile ya 80 mwishoni?

Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.

Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.

Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).

Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.

DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?

Damn I miss those days....

Anaitwa Joyce Wowowo, kama hujaona show zake kalagha bao!

SDC10889.JPG
 
Dj Seydou pale British concil , pia ni wakukumbukwa! Hotel za kutajika early 80"
The Kilimanjaro
New Africa
Skay way
Palm beach
Mawenzi
Kibodya
miaka hiyo Hotel Embassy ndiyo inajengwa na ikionekana ya kutisha sana!
Hivyo vibisa nakumbuka palikua na competition kali sana kati ya Muungano dancing troupe cha Cp. Komba na Makutano dancing troupes cha Nobert Chenge.
 
miaka hiyo Hotel Embassy ndiyo inajengwa na ikionekana ya kutisha sana!

eebana eeeh hotel embassy ilikuwa bab kubwa enzi hizo.

mi nakumbuka maza alinipeleka siku moja wakati hoteli ndo imefunguliwa funguliwa tu.

yeye akaagiza shrimp halafu mimi akaniagizia soda na sambusa.

nikamwuliza 'mama unakula nini'?....akaniambia anakula prawns.

basi nikataka kumdoea akanipa mmoja tu....ile kumtafuna nikamwona mtamu kichizi.

kutaka zaidi akaninyima bana lol.

nilimmaindi mbaya sana.
 
Mi nilikuwa napenda kwenda Avalon na Empress. Unazikumbuka hizo theaters Boss?

Pale Avalon kulikuwa na kisehemu jirani kilikuwa kinauza ice cream tam kichizi....unapakumbuka hapo Boss?

Unazungumzia Snow cream!! Kipindi sana halafu kulikuwa na jumba lingine karibu na posta kisutu CAMEO unalanguliwa ticketi kuiona "i am a disco dancer". Wapi wapi's bar - umenikumbusha nyumbani...First and Last bar
 
Nani anawakumbuka wale madensa wa zamani waliotamba miaka ile ya 80 mwishoni?

Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.

Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.

Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).

Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.

DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?

Damn I miss those days....
...Baucha...sasa hivi anaimba
 
Unazungumzia Snow cream!! Kipindi sana halafu kulikuwa na jumba lingine karibu na posta kisutu CAMEO unalanguliwa ticketi kuiona "i am a disco dancer". Wapi wapi's bar - umenikumbusha nyumbani...First and Last bar



Hapo sitapasahau,ipo siku nimetoka na mrembo wangu nimpe outing ile nafika mtoto akaagiza Banana boat wakati mimi mfukoni nina alfu tu nilikoma kuringa....
 
Mi nilikuwa napenda kwenda Avalon na Empress. Unazikumbuka hizo theaters Boss?

Pale Avalon kulikuwa na kisehemu jirani kilikuwa kinauza ice cream tam kichizi....unapakumbuka hapo Boss?
Palikuwa panaitwa snowcream,pamevunjwa pale kwa sasa.
 
Unazungumzia Snow cream!! Kipindi sana halafu kulikuwa na jumba lingine karibu na posta kisutu CAMEO unalanguliwa ticketi kuiona "i am a disco dancer". Wapi wapi's bar - umenikumbusha nyumbani...First and Last bar

Margot??????
 
Ama kweli wazee hukumbuka.. enzi hizo mnazotaja niko zangu kwenye mafunzo ya kijeshi nchini Cuba baada ya kumaliza ngazi ya ukomando nchini China 7 years!!! Nyerere......mwacheni apumzike kwa amani jamani. Nilimaliza 7 years tena kwa Fidel Castro.



217697_101627749924793_3555833_n.jpg


Hapo ni China kwa muda, ndipo nilipoanzia.

images


Hapo ni Cuba nimechokaaa, nyuma yang ni Babu DC Dark City.

SAA02.JPG



Hapo ndio Russia nakaribia kuiondoa hii Mirage... Bishanga na Nyani Ngabu mimi ni mzee sana eti jamani hata mkimuuliza Mamndenyi, Madame B, Nicas Mtei, Filipo na marejesho mkewe wanajua ila sijazeeka down there muulizeni Mamzalendo my wife.
 
Last edited by a moderator:
Athuman digadiga,sammy cool,black moses,blood moses,kelly john,kokoliko,flora tingisha lango la jiji,queen Dafrida enzi hizi acha tu.
 
Back
Top Bottom