Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Nani anawakumbuka wale madensa wa zamani waliotamba miaka ile ya 80 mwishoni?
Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.
Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.
Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).
Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.
DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?
Damn I miss those days....
Mi nawakumbuka sana Diga Diga na Black Moses. Hawa jamaa walikuwa wakali sana.
Halafu kipindi hicho madebe (masongi) makali yalikuwa Time, I need an answer, Maskinada, hata La isla bonita nayo ilitesa.
Viwanja vikali uswazi vilikuwa Wapiwapi's bar, Lang'ata social hall, Sundown hotel (Sinza kwa kina Al Noor).
Silent Inn kilikuwa kiwanja poa ingawa hapa ilikuwa kama unapenda kwenda kuangalia mijoka ya Kibisa na Muungano Ngoma Troupe ndo palikuwa pake hapo.
DDC Kariakoo nako walikuwaga wanapiga disko pia. Ila hapa palikuwa ni sehemu ya masumbwi zaidi...nani anawakumbuka akina Stanley Mabesi, Gerard Isaac, Habibu Kinyogoli?
Damn I miss those days....