Butola,,, haumfahamu vizuri nadhani, ni mwanaharakati mzuri na mpigania hakikama ulitegemea Madenge achukizwe na ufisadi ulikosea sana, huyu jamaa proffessional yake ni "Uhalifu wa Silaha",ana damu nyingi mikononi mwake.
Butola,,, haumfahamu vizuri nadhani, ni mwanaharakati mzuri na mpigania hakikama ulitegemea Madenge achukizwe na ufisadi ulikosea sana, huyu jamaa proffessional yake ni "Uhalifu wa Silaha",ana damu nyingi mikononi mwake.
Butola,,, haumfahamu vizuri nadhani, ni mwanaharakati mzuri na mpigania haki
Kutangaza nia ni haki ya kila mtanzania,mkuu ... yule masalia wa UK Chris Lukosi nae analitaka hilo jimbo ....
he is barking at flying birds .... haa haaaaa
JANUARY 16, 2013
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa, Mahamoud Madenge ameanza kazi ya kufa na kupona itakayowasaidia kulirejesha mikononi mwao jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Jimbo hilo ambalo toka uchaguzi uliohusisha vyama vingi vya siasa uanze mwaka 1995 limekuwa likiongozwa na CCM, hivi sasa linaongozwa na Mchungaji Peter Msigwa wa Chadema.
Madenge ambaye pia ni mfanyabiashara anayemiliki kiwanda cha maji aina ya Ndanda ameainisha kazi kubwa nne zikazowasaidia kufikia lengo hilo.
Kazi hizo ni pamoja na kukagua uhai wa chama kuanzia ngazi ya shina hadi wilaya na kuwakumbusha wanachama na wapenzi wa chama hicho misingi, madhumuni na itikadi ya chama hicho.
Nimeanza kutembelea wanachama wetu katika ngazi ya shina, tawi na kata na kwa kushirikiana na viongozi wenzangu tunatoa darasa ili waifahamu itikadi ya chama, misingi na madhumuni yake,
alisema.
Alizitaja kazi zingine kuwa ni kuhakikisha watendaji katika ngazi mbalimbali za serikali wanatekeleza Ilani ya CCM kama ilivyoelekezwa.
Nitahakikisha mafanikio na changamoto zake naziwasilisha katika kikao cha Halmshauri Kuu ya Taifa ili hatua zinazostahili zichukuliwe, alisema.
Alisema kazi ya nne itakuwa kufanya mikutano ya hadhara na ya ndani na makundi mbalimbali ya jamii ili kueleza utekelezaji wa Ilani na kusikia changamoto zinazowakabili wananchi ili zifanyiwe kazi.
Alisema chama hicho mjini hapa kitaanza kujibu mapigo ya wapinzani wao wakubwa wa kisiasa ambao ni Chadema kwa kuzindua rasmi mikutano yake ya hadhara kwa kuwaalika viongozi mbalimbali wa CCM wa ngazi ya Taifa.
Tarehe 26 mwezi huu wa kwanza tutaanza na Makamu Mwenyekiti wetu Mzee Phillip Mangula, na baadaye tutaleta wengine wengi kwa kuzingatia mapendekezo ya wanachama na wananchi, alisema.
Alisema wanaendelea pia kujipanga kulifikia kundi la vijana wa matabaka mbalimbali ili kusikiliza vilio vyao na hatimaye kwa pamoja waje na mapendekezo yatakayolenga kuboresha hali zao.
Madenge alichaguliwa kuwa mjumbe wa NEC katika Uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika mwishoni mwa mwaka jana baada ya kuwashinda Vitus Mushi ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtwivilla mjini hapa na mfanyabishara Michael Mlowe.
Source; IRINGA YETU
what is your argument? maana hauwezi kuwa senator or member of congress bila kuchaguliwa. Kuhusu affiliation thats after election. what is your point?
Katika DEMOKRASIA ya DUNIA hii... hata NCHI wanayosema ina DEMOKRASIA kupita zingine DUNIANI INDIA hawana MGOMBEA BINAFSI... sababu ina-UBINAFSI...
Hata USA wana so called INDEPENDENT CANDIDATES for Congress and SENATE lakini wakiingia BUNGENI lazima wawe affiliated na CHAMA either REPUBLICAN or DEMOCRAT's caucases...
Kwasababu USA wanaona a INDEPENDENT PRIVATE CANDITATE inaleta MGAWANYIKO; UBINAFSI na PIA kusababisha RUSHWA sababu kwenye UPIGAJI KURA kwa MASUALA MBALIMBALI kama sio AFFILIATED na chama chochote UNAWEZA kuharibu DEMOKRASIA...
*** HAKUNA NCHI YENYE PRIVATE CANDIDATE DUNIANI... TANGANYIKA itakuwa ya kWANZA na hapo ndipo HAYO MAKABILA 139 na ZAIDI yataanza kubaguana... TUCHUNGE TUNACHOTAKA KIBINAFSI; KITATUDHURI KIBINAFSI...
what is your argument? maana hauwezi kuwa senator or member of congress bila kuchaguliwa. Kuhusu affiliation thats after election. what is your point?
Kama haujui historia yake ya "Uhalifu" basi haumjui Madenge.
Iringa ni ya wana-iringa bhana,, mushi aende kwao
How about mayor and senator? or president?My Point Is there is no PRIVATE Candidate for either Member Of Parliament Or Senate
Ndo ivo, Natives Chama, c WAO wamesimamia sera ya majimbo? Ukanda ukanda tu kwa sasaYameshakuwa hayo tena ya kubaguana? Kuna kina Mushi wamezaliwa Iringa hata huko Machame hawakujui sasa wakagombee wapi?
Chama
Gongo la mboto DSM
Si vibaya kama ungetueleza moja ya matukio yake ya uhalifu; hivi sasa tunapata wakati mgumu kuamini maneno yenu; kama hoja ni uhalifu chunguza safu yako ya wabunge wapo wengi tu ndani ya Chadema au unataka kutuambia safu yako ina watakatifu?
Chama
Gongo la mboto DSM
Ndo ivo, Natives Chama, c WAO wamesimamia sera ya majimbo? Ukanda ukanda tu kwa sasa
Oh... MCHUNGAJI kapata MPINZANI toka CCM; Mmiliki wa KIWANDA!!!
Oh... MCHUNGAJI kapata MPINZANI toka CCM; Mmiliki wa KIWANDA!!!
Wewe si ndiye yule mwandishi uliyekuwa ukitumiwa kupeleka habari za CDM,wakati ule wapo Iriinga kabla ya kifo cha Mwangosi, na uliyepanga na watu wako kuwa Msiba wa Mwangosi usiwe wa Kisiasa na wakati ulishachukua Ml 1 toka kwa wenzio kuzuia Cdm wasihusike na msiba, vipi uko kazini tena?