Mi jamani hii inanikera sana hadi sasa hivi nimejikuta sipendi kuchakachua tena! Kwani demu anakupigia simu na kubeep mara kibao nimekumiss, nimekumiss afu ukikutana nae anaanza kukuomba hela na hata kuonyesha kutoridhika
ninachotaka kujua kweli huwa wamekumiss au amemiss hela yako?
ninachotaka kujua kweli huwa wamekumiss au amemiss hela yako?