Mademu wakali!!!

Mademu wakali!!!

Status
Not open for further replies.

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,367
Reaction score
27,773
Jamani mimi mwenzenu ni mgeni katika ulingo wa malavidavi, naomba mnijuze ni mkoa gani wanatoka totoz wa ukweli ili nifanye maamuzi sahihi na Mungu akipenda tutengeneze familia naye,. Ukitoa na sababu ya chaguo lako nitashukuru zaidi,.
 
Nenda maternity ward kuna totoz za ukweli na huwa zinazaliwa kila dakika...
 
watu wengine bwana,. Kwani mmelazimishwa kuchangia au ndo mnamalizia vifurushi vyenu,.
 
jamani mimi mwenzenu ni mgeni katika ulingo wa malavidavi, naomba mnijuze ni mkoa gani wanatoka totoz wa ukweli ili nifanye maamuzi sahihi na mungu akipenda tutengeneze familia naye,. Ukitoa na sababu ya chaguo lako nitashukuru zaidi,.

njombe
 
madhara ya div. 0 ndo haya sasa; tuliliona kama jambo dogo lakini madhara yake kwa taifa ndo yanaanza kujitokeza mdogo mdogo. Hivi fikiria kama tungekuwa tunaonana - unafikiri tungekuelewaje; unaumwa malaria ya ubongo, hazikutoshi, au kitu gani? Nani kakwambia warembo lazima watoke mkoa mmoja tu. Hata ukiangalia mamis huwa wanabadirika, mara mwanza, mara arusha, bukoba n.k.

sio siri mtoa uzi umenisikitisha sana.
 
nenda kahumba, uwanja wa fisi, meeda, buguruni. hawatoshi?
 
madhara ya div. 0 ndo haya sasa; tuliliona kama jambo dogo lakini madhara yake kwa taifa ndo yanaanza kujitokeza mdogo mdogo. Hivi fikiria kama tungekuwa tunaonana - unafikiri tungekuelewaje; unaumwa malaria ya ubongo, hazikutoshi, au kitu gani? Nani kakwambia warembo lazima watoke mkoa mmoja tu. Hata ukiangalia mamis huwa wanabadirika, mara mwanza, mara arusha, bukoba n.k.

sio siri mtoa uzi umenisikitisha sana.

nina wasiwasi hata shule hukwenda kabisa wewe,. Nani kakuambia div.0 ni tatizo!! Unajua mimi ninaishi maisha gani ww,. Karibu nyumbani na masters yako!!
 
Duh! Dogo mbona mkali?
Skia bwamdogo hapa lazima utolewe mtazamo wako wa ki-facebook!
Humu ni kwa Great thinkers!!!
...
Utazoea tu!
Utaelimika tu!
...
Pungu Munkar kidogo!!!

watu wengine bwana,. Kwani mmelazimishwa kuchangia au ndo mnamalizia vifurushi vyenu,.
 
nina wasiwasi hata shule hukwenda kabisa wewe,. Nani kakuambia div.0 ni tatizo!! Unajua mimi ninaishi maisha gani ww,. Karibu nyumbani na masters yako!!

Subiri umalize shule tuangalie utapata div gani kwenye Big Results Now.
 
nina wasiwasi hata shule hukwenda kabisa wewe,. Nani kakuambia div.0 ni tatizo!! Unajua mimi ninaishi maisha gani ww,. Karibu nyumbani na masters yako!!

Bora kutoenda shule kuliko kuwa mbumbumbu kama mtoa uzi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom