maju
Senior Member
- Oct 20, 2011
- 118
- 28
Nimeangalia muvi nyingi za hollywood za mapenzi sijawahi kuona demu akimpiga mzinga bf wake. Atapigwa mti na kusepa bila kuomba nauli wala hela yya matumizi sijui hela ya saluni. Au watatoka out kula kila moja atalipa.
Hii tabia ya kuombaomba mademu wa bongo wameiiga wapi? Maana ukilala naye lazima akupige mzinga kama kakuuzia. Mbona wabongo mnalaana hv kila ubaya mnao nyie. Bora mtu uchukue wanaojiuza rasmi kona baa ujue moja.
Hii tabia ya kuombaomba mademu wa bongo wameiiga wapi? Maana ukilala naye lazima akupige mzinga kama kakuuzia. Mbona wabongo mnalaana hv kila ubaya mnao nyie. Bora mtu uchukue wanaojiuza rasmi kona baa ujue moja.