GE2025 Madeleka: Polisi mkituchagua ACT Wazalendo, kila Askari atamiliki Ghorofa na Land Cruiser

GE2025 Madeleka: Polisi mkituchagua ACT Wazalendo, kila Askari atamiliki Ghorofa na Land Cruiser

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania wana jukumu la kuunda serikali mpya kupitia uchaguzi.

Julai 4, 2025 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Busega, mkoani Simiyu, Madeleka alisisitiza umuhimu wa kushiriki uchaguzi kama njia ya kidemokrasia ya kuleta mabadiliko ya kweli.

"Serikali tuliyonayo leo hii itamaliza uhalali wake mwezi wa kumi. Tunao wajibu wa kutafuta Serikali nyingine. Serikali hiyo tutaipata kwa njia ya uchaguzi. Uchaguzi ni haki ya kidemokrasia. Anayekwambia usishiriki uchaguzi hakutakii mema," alisema Madeleka mbele ya umati wa wananchi waliojitokeza.

Ameonya kuwa wito wa kususia uchaguzi una manufaa kwa chama tawala pekee na unadhoofisha juhudi za kidemokrasia za wananchi.

Hotuba hiyo imekuja wakati ambapo mjadala kuhusu ushiriki wa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ukiendelea kushika kasi. ACT Wazalendo wamesisitiza dhamira yao ya kushiriki kikamilifu ili kuzuia kile wanachokiita "utawala wa mabavu bila ridhaa ya wananchi."

Viongozi wa ACT Wazalendo wanaendelea na Operesheni yao waliyoiita Majimaji katika mikoa mbalimbali kueleza msimamo wa chama chao na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi wakati wa uchaguzi.

 
Yale yaleeee ya nainteen kweusi enzi za kupigia kura Jembe na Nyumba ndio tulikua tunaambiwa haya wakati wa kampeni za kina Ntutemeke Sanga na Jackson Makweta na Wasiraz wa miaka ile!

Leo hii kuna askari hajui mbunge anatafuta mshahara wa familia yake kweli adanganyike kikenge namna hii? Apewe landcuiser kwani Madeleka akiwa mbunge askari wanakua maDC, maRC au mawaziri hatimaye?? 😛

Apedomia by Mtikila RIP
 
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania wana jukumu la kuunda serikali mpya kupitia uchaguzi.

Julai 4, 2025 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Busega, mkoani Simiyu, Madeleka alisisitiza umuhimu wa kushiriki uchaguzi kama njia ya kidemokrasia ya kuleta mabadiliko ya kweli.

"Serikali tuliyonayo leo hii itamaliza uhalali wake mwezi wa kumi. Tunao wajibu wa kutafuta Serikali nyingine. Serikali hiyo tutaipata kwa njia ya uchaguzi. Uchaguzi ni haki ya kidemokrasia. Anayekwambia usishiriki uchaguzi hakutakii mema," alisema Madeleka mbele ya umati wa wananchi waliojitokeza.

Ameonya kuwa wito wa kususia uchaguzi una manufaa kwa chama tawala pekee na unadhoofisha juhudi za kidemokrasia za wananchi.

Hotuba hiyo imekuja wakati ambapo mjadala kuhusu ushiriki wa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ukiendelea kushika kasi. ACT Wazalendo wamesisitiza dhamira yao ya kushiriki kikamilifu ili kuzuia kile wanachokiita "utawala wa mabavu bila ridhaa ya wananchi."

Viongozi wa ACT Wazalendo wanaendelea na Operesheni yao waliyoiita Majimaji katika mikoa mbalimbali kueleza msimamo wa chama chao na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi wakati wa uchaguzi.

Uongo wa kitoto sana!
 
Kwa maoni yangu naona ni muda wa siasa zinazoendana na wakati huu ambao tayari watu wameelimika.

Sikutegemea Madeleka ambaye tena ni msomi na mwanasheria , anazungumza kitu ambacho hakina mkakati na sifa. Yani polisi anamiliki hivyo vitu kwa kupewa au kwa kufanyaje ikumbukwe polisi ni mtumishi wa umma , watumishi wa umma wapo wengi katika sekta mbalimbali.

Wanasiasa wekeni ahadi zinazopimika kwa akili za wapiga kura.
 

Attachments

  • facebook_20250706_202642.mp4
    3.9 MB
Kwa maoni yangu naona ni muda wa siasa zinazoendana na wakati huu ambao tayari watu wameelimika.

Sikutegemea Madeleka ambaye tena ni msomi na mwanasheria , anazungumza kitu ambacho hakina mkakati na sifa. Yani polisi anamiliki hivyo vitu kwa kupewa au kwa kufanyaje ikumbukwe polisi ni mtumishi wa umma , watumishi wa umma wapo wengi katika sekta mbalimbali.

Wanasiasa wekeni ahadi zinazopimika kwa akili za wapiga kura.
Siasa huwa inawafanya nini wasomi? Suddenly wana act dumb kiasi hiki?

Seriously ahadi haziko realistic kabisa hiz
 
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania wana jukumu la kuunda serikali mpya kupitia uchaguzi.

Julai 4, 2025 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Busega, mkoani Simiyu, Madeleka alisisitiza umuhimu wa kushiriki uchaguzi kama njia ya kidemokrasia ya kuleta mabadiliko ya kweli.

"Serikali tuliyonayo leo hii itamaliza uhalali wake mwezi wa kumi. Tunao wajibu wa kutafuta Serikali nyingine. Serikali hiyo tutaipata kwa njia ya uchaguzi. Uchaguzi ni haki ya kidemokrasia. Anayekwambia usishiriki uchaguzi hakutakii mema," alisema Madeleka mbele ya umati wa wananchi waliojitokeza.

Ameonya kuwa wito wa kususia uchaguzi una manufaa kwa chama tawala pekee na unadhoofisha juhudi za kidemokrasia za wananchi.

Hotuba hiyo imekuja wakati ambapo mjadala kuhusu ushiriki wa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ukiendelea kushika kasi. ACT Wazalendo wamesisitiza dhamira yao ya kushiriki kikamilifu ili kuzuia kile wanachokiita "utawala wa mabavu bila ridhaa ya wananchi."

Viongozi wa ACT Wazalendo wanaendelea na Operesheni yao waliyoiita Majimaji katika mikoa mbalimbali kueleza msimamo wa chama chao na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi wakati wa uchaguzi.

Nasisi walimu,madaktari na watumishi wengine??🥱, TP Mazembe sana huyu hivi Kuna chesi yeyote alishashinda mbele ya bwana bokela, chama kubwa ni CCM
 
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania wana jukumu la kuunda serikali mpya kupitia uchaguzi.

Julai 4, 2025 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Busega, mkoani Simiyu, Madeleka alisisitiza umuhimu wa kushiriki uchaguzi kama njia ya kidemokrasia ya kuleta mabadiliko ya kweli.

"Serikali tuliyonayo leo hii itamaliza uhalali wake mwezi wa kumi. Tunao wajibu wa kutafuta Serikali nyingine. Serikali hiyo tutaipata kwa njia ya uchaguzi. Uchaguzi ni haki ya kidemokrasia. Anayekwambia usishiriki uchaguzi hakutakii mema," alisema Madeleka mbele ya umati wa wananchi waliojitokeza.

Ameonya kuwa wito wa kususia uchaguzi una manufaa kwa chama tawala pekee na unadhoofisha juhudi za kidemokrasia za wananchi.

Hotuba hiyo imekuja wakati ambapo mjadala kuhusu ushiriki wa vyama vya upinzani katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu ukiendelea kushika kasi. ACT Wazalendo wamesisitiza dhamira yao ya kushiriki kikamilifu ili kuzuia kile wanachokiita "utawala wa mabavu bila ridhaa ya wananchi."

Viongozi wa ACT Wazalendo wanaendelea na Operesheni yao waliyoiita Majimaji katika mikoa mbalimbali kueleza msimamo wa chama chao na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi wakati wa uchaguzi.

Polisisiyemu
 
Hakuna nchi duniiani ya hivyo!! Ghorofa na Landcruiser? Madeleka anakoelekea atachanganyikiwa. Ila nikiwaza na yeye ni polisi sioni shida ya maneno yake.
 
Bila kusahau wanafunzi kufanya practical Mars, Dawa kama mchanga hospitalini, Nk.

Labda anatathimini Maliasili lukuki za Tanzania na kuona hapa inawezekana ahadi hizi kutimia, kunakosekana uongozi Bora wenye mikakati na mipango bora.

Tanzania yenye Utajiri kibao wa rasilimali, kwanini iwe maskini wa kutupwa.

Labda anataka kufaata nyayo za Ray dalio (Bridgewater Associates) investor, ambaye anadai katika uchina kufungua Milango na kufanya Reform ktk sekta ya fedha alihusika, na Wakati mwingine alikuwa anawaambia wanasemina katika mji alikuwako, munaona nyumba hizi (Ambazo zilikuuwa duni sana) Miaka michache ijayo kutakuwa na ghorofa nzuri(Makazi Bora) za kutoshaa ,wengi waliguna,kataa, ikawa hivyo Kwa kiasi kikubwa ghorofa nzuri Kujengwa.

CCM waone haya ya tafakuri, wasiwe kama Wakoloni waingereza, baada ya miaka 40 wanatoa Dco mmoja Mweusi msomi kisha wanajipiga kifua kwa shangwe na vigeregere, wakisambaza habari katika magazeti na redio Nchi nzima kuhusu mweusi mmoja kupata cheo. Kisha wanadai waendelee kutawala zaiidi na kuzalisha wasomi zaidi.
 
Back
Top Bottom