Made in tanzania

Made in tanzania

Jodari

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
120
Reaction score
16
Huwa ninaisikia mara nyingi kule radio cloud tujuzeni inamaanisha nini? Kwakua linaonyesha nitangazo lakini halina bidhaa?
 
kwakweli hata mimi hii campaign imenivutia sana. ila I wish kungekuwa hata ta mtandao ambao unaonyesha hizo products za Tanzania. Nia ni kuona kazi kwa macho yetu ili tuweze kuunga mkono. but so far nimshasikia kupitia studia Watz ambao wamebuni vitu mbalimbali wakihojiwa. Big up Clouds FM
 
Clouds walitangaza kuwa watakuwa na kampeni ya mwezi mmoja wa kuhamasisha matumiza matumiza ya bidhaa za kwetu "MADE IN TANZANIA" ndio maana unaona karibu kila saa utasikia neno hilo.
 
Back
Top Bottom