mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Mtoto wa Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere aliukimbia 'Mwenge wa Uhuru' wakati yeye na kundi la watanzania wengine walipokuwa wanapanda mlima Kilimanjaro kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru.
Kipindi hicho pia wakimbiza mwenge walikuwa wakiupandisha mwenge kileleni na wangekutana na kundi la Madaraka kwenye summit.
Mmoja wa watu waliokuwa na Madaraka amebainisha kuwa Mtoto huyo wa Kambarage alilazimika kusimamisha msafara wake ili kwanza mwenge uondoke kileleni ndipo nao waende.
"Makongoro siyo msemaji sana yeye alitamka maneno machache tu ya kwamba "Huo Mwenge sio ule wa Baba yangu!"
Kipindi hicho pia wakimbiza mwenge walikuwa wakiupandisha mwenge kileleni na wangekutana na kundi la Madaraka kwenye summit.
Mmoja wa watu waliokuwa na Madaraka amebainisha kuwa Mtoto huyo wa Kambarage alilazimika kusimamisha msafara wake ili kwanza mwenge uondoke kileleni ndipo nao waende.
"Makongoro siyo msemaji sana yeye alitamka maneno machache tu ya kwamba "Huo Mwenge sio ule wa Baba yangu!"