Madanguro yashamiri Dar, sheria iko kimya

Madanguro yashamiri Dar, sheria iko kimya

Habari ya Dar es Salaam .... Jiji pembeni ya Bahari
Duu hatari,wangesema na hawa madada wanaojiuzia kwenye nyumba zao(baadhi yao single mothers) na hawa magirlfriend wetu,takwimu zionyeshe hali ikoje.
 
Madanguro yanatuokoa!
Madanguro yalikuwepo tokea zamani......
Enzi za mchonga na mzee wa ruksa kulikuwa na danguro mjini linaitwa magot lbda ww kipindi Hicho ulikuwa hujazaliwa

Ova
 
Back
Top Bottom