Watafutie njia mbadala ya kujikimu uone kama watafanya hiyo biashara-wengi ni ulazima unawafanya wawe hivyo,
Tatizo linalotusibu watanzania ni kua mtu anapata huduma kimya kimya halafu anailaumu serikali kwa kutochukua hatua.
Watafutie njia mbadala ya kujikimu uone kama watafanya hiyo biashara-wengi ni ulazima unawafanya wawe hivyo,
Wateja utawajua tu kwa majibu yao
Hii comment nimeipenda. Ukweli mtupu. Period.show me msichana wa umri wa kati ambaye ameshaanza mapenzi asiyejiuza and I will show you someone who is not a Tanzania gal..acheni kufunika kinyesi kwa mchanga..they are all basically doing the same thing..tofauti kidogo ni kuwa baadhi (wachache sana) wanajiuza kwa mtu mmoja tu
Bila kushinikizwa na mtu.Hapa ni kama wamefanya matangazo ya bure ya biashara. Kuna watu wenye uchu walikuwa hawajui pa kwenda sasa washajua.
UKIMWI unaununua mwenyewe kwa hela yako.
Usenge wao,mikundu yao,kipi kinawaumiza?nyuchi zao
hela zao
kipi kinawaumiza?
AtakikomboajeMungu tu ndiye atakaekikomboa kizazi hiki
Mkuu stendi ya mkoa kwa wapi paleMadanguro hasa kabila fulani toka sehemu za tetemeko ni jambo la kutia simanzi sana. Viongozi serikali za mitaa wapo wanapokea rushwa na kukaa kimyaa aah. Temeke sokota, buguruni, Ubungo Stendi ya mkoa, Makumbusho Stendi ya daladala n.k
Mi nashangaa baadhi ya wanaume wenzangu wanaolalamikia Masada wanaojiuza maeneo ambayo yanajulikana wakati kiukweli hawa madada ambao tunawaona kama wastaarabu wengi wao wanawanaume zaidi ya mmoja.Mimi nilikua mwalimu was bweni sehemu moja hivi,matron alikua ananishirikisha mambo mengi yanayohusu wanafunzi was like,baadhi yao walikua wanalala na wanaume za ya wawili kwenye mageto tpfauti.Mi nina uhakika kuna madada kibao wengine ni waalomu ambao bado hawajaolewa wanaingiza wanaume tofautitofauti kwa siku moja au ndani ya wiki moja na bado tunawaona kama wastaarabu.Kuna hata wakina mama wengine ni wake za watu wanafanywa hovyohovyo kwenye magari yao na madereva wao au watu wengine.Kuna manesi ambao wanafanywa na madaktari au manesi was kiume maofisini wagonjwa wakimalizika kwenye zahanati au hospitality,vilevile kuna hadi baadhi ya mawaziri wanakashfa ya kufanywa hovyohovyo na ndomana hata baadhi ya ndoa zao hazidumu pale wanaume zao wakigundua yanayofanyika kwenye ziara mbalimbali.Tusiwasakame hao machanguduo tujaribu kufikiri nje ya boksi watu kama akina Wema,Wolper,Lulu n.k ukisema uwachunguze kiundani utasema bora hata ya hao wana nafuu.