nimewahi kufanya kazi katika duka la spare za pikipiki kahama mkabala na AC BANK,winga hana anachoiba ndugu zangu. mteja anaandika oda ktk duka letu let say clutch cables 10,wiring10 nk jumla 2m, ktk kufunga mzigo clutch cables na wiring zikakosekana na mteja tumemwandikia bei labda cable elfu moja miambili,wayaring 9000 ikabidi nichukue hela kulingana na bei tuliomwandikia tukahemee duka jirani, duka jirani unakuta bei punguzo ....nimechoka kuandikaUmesahau MAWINGA wa Kariakoo. Hao nao ni janga. Wanapandisha bei dukani tena mbele ya mwenye duka. Kile anachozidisha anachukuwa winga. Siwapendi hawa jamaa basi tu.
Sasa wewe hapo haukuwa winga.nimewahi kufanya kazi katika duka la spare za pikipiki kahama mkabala na AC BANK,winga hana anachoiba ndugu zangu. mteja anaandika oda ktk duka letu let say clutch cables 10,wiring10 nk jumla 2m, ktk kufunga mzigo clutch cables na wiring zikakosekana na mteja tumemwandikia bei labda cable elfu moja miambili,wayaring 9000 ikabidi nichukue hela kulingana na bei tuliomwandikia tukahemee duka jirani, duka jirani unakuta bei punguzo ....nimechoka kuandika
Ngoja waje upondwe na kukulaani kua unawaonea wivuHao watu wamekuwa wasumbufu sana, wezi na wapigaji sana, wamekuwa wakiongeze bei ya vitu hali inayosababisha ugumu wa maisha.
Mfano mpiga debe analipwa kila kichwa anachopeleka kwenye gari hizi pesa zinakuwa za huyo msafiri mfano nauli ingeweza kuwa 10000 inapanda mpaka 12000 ili mpiga debe apate posho yake.
Hivi mtu ambae anasafiri anashindwa kujua kuwa anasafiri kwenda wapi na gari gani mpaka awepo mpiga debe, wengi wa Hawa wapiga ni wezi maana ukikaa vibaya wanakuibia hasa wanapokuwa wanakuzonga zonga pale stendi.
Kundi lingine ni madalali, hawa nao wamesababisha bei ya vitu kupanda sana kwa sababu ya kutaka cha juu kikubwa, mwenye uwanja au gari anaweza kuwa anauza 5M ila dalali akaanzia akataka 9M na akakomaa kweli.
Serikali iwapige marufuku hawa watu maana wanaendekeza uzembe na ni wapigaji.
Waje tuNgoja waje upondwe na kukulaani kua unawaonea wivu
Wewe una kazi?Watafute Kazi zingine wafanye.
Tiketi ya efd wanakukatia ya 27,000 ama 25,000?Unachoongea ni kweli kabisa, mpiga debe au mtu yeyote anayempeleka mteja kwenye booking office huwa anapokea asilimia fulani kutoka kwenye fedha husika ya anayesafiri. Kwa mfano nauli ikiwa ni shilingi 27,000/= mpiga debe yake ni shilingi 2,000/= na office inabaki n shilingi 25.000/=.