Hao watu wamekuwa wasumbufu sana, wezi na wapigaji sana, wamekuwa wakiongeze bei ya vitu hali inayosababisha ugumu wa maisha.
Mfano mpiga debe analipwa kila kichwa anachopeleka kwenye gari hizi pesa zinakuwa za huyo msafiri mfano nauli ingeweza kuwa 10000 inapanda mpaka 12000 ili mpiga debe apate posho yake.
Hivi mtu ambae anasafiri anashindwa kujua kuwa anasafiri kwenda wapi na gari gani mpaka awepo mpiga debe, wengi wa Hawa wapiga ni wezi maana ukikaa vibaya wanakuibia hasa wanapokuwa wanakuzonga zonga pale stendi.
Kundi lingine ni madalali, hawa nao wamesababisha bei ya vitu kupanda sana kwa sababu ya kutaka cha juu kikubwa, mwenye uwanja au gari anaweza kuwa anauza 5M ila dalali akaanzia akataka 9M na akakomaa kweli.
Serikali iwapige marufuku hawa watu maana wanaendekeza uzembe na ni wapigaji.
Mfano mpiga debe analipwa kila kichwa anachopeleka kwenye gari hizi pesa zinakuwa za huyo msafiri mfano nauli ingeweza kuwa 10000 inapanda mpaka 12000 ili mpiga debe apate posho yake.
Hivi mtu ambae anasafiri anashindwa kujua kuwa anasafiri kwenda wapi na gari gani mpaka awepo mpiga debe, wengi wa Hawa wapiga ni wezi maana ukikaa vibaya wanakuibia hasa wanapokuwa wanakuzonga zonga pale stendi.
Kundi lingine ni madalali, hawa nao wamesababisha bei ya vitu kupanda sana kwa sababu ya kutaka cha juu kikubwa, mwenye uwanja au gari anaweza kuwa anauza 5M ila dalali akaanzia akataka 9M na akakomaa kweli.
Serikali iwapige marufuku hawa watu maana wanaendekeza uzembe na ni wapigaji.