Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,253
- 14,900
Hivi ni kwa nini madaktari (afya) wote au wengi wanatumia Dr. kabla ya majina yao hata kama hawana PhD?
Mimi nilifikiri Dr. ni kwa watu waliosomea PhD au labda waliotunukiwa kieheshima na chuo fulani, sasa nashangaaa mara nyingi nakutana na madaktari (afya) wengi wao wakiwa na degree moja tu lakini wanatumia Dr. kwenye majina yao, Je ni sawa, au kuna tofauti na Dr. ya PhD?
Mimi nilifikiri Dr. ni kwa watu waliosomea PhD au labda waliotunukiwa kieheshima na chuo fulani, sasa nashangaaa mara nyingi nakutana na madaktari (afya) wengi wao wakiwa na degree moja tu lakini wanatumia Dr. kwenye majina yao, Je ni sawa, au kuna tofauti na Dr. ya PhD?