Simamieni jambo mnalolitaka na kuamini ni haki yenu halali kwa nguvu zenu zote, mkiingiza huruma na maswala ya haki za binadamu mtakwama daima kwani kila mara mkidai jambo na kutishia kugoma serikali inawategea ili wananchi wateseke na wawageuzie kibao mlaumiwe ninyi kwamba hamna huruma na wananchi watanzania wenzenu!! Nyani ukimuangalia usoni hutakaa umuue katu!!; "Sometimes desperate situations demand desperate measures!!"
It beats my imagination that this same government splashed 57Bn shillings over the 50 years independence celebrations!! imagine how much that kind of money would have covered to settle teachers long overdue salary claims, EAC retirees,Doctors demands, Shule za kata that have no teachers, labaratories and teachers housing!!
Stay firm, focused, consistent and persistent, msiyumbe katika madai yenu wananchi watawaelewa. best wishes.