Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Hata kama ukiwa upinzani haipendezi kuhamasisha jambo la kutesa binadamu wezako..... hakuna mgomo usioumiza watu.
Ili mbegu iote na izae moja mia, nyingine sitini na nyingine arobaini ni sharti kwanza ife. Hayo mateso ndio kufa kwenyewe! Haki haiombwi inadaiwa.