VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Tumechoka kuwasikia mkinung'unika juu ya maslahi na madai yenu.Mmekuwa wasemaji sana nyinyi.Sasa tunataka matendo. Simamieni haki zenu.Ziteteeni.Kama mtaamua mambo yaendelee yalivyo,nyamazeni milele.Tumewachoka na sms zenu.
Tumewachoka na 'conference' zenu.Tarehe zenu za migomo tunazijua.Tutazizingatia.Msipogoma,msitujue tena.Hatutawaunga mkono kivitendo wala kimawazo.Fanyeni kweli.Ole wenu msigome...
Tumewachoka na 'conference' zenu.Tarehe zenu za migomo tunazijua.Tutazizingatia.Msipogoma,msitujue tena.Hatutawaunga mkono kivitendo wala kimawazo.Fanyeni kweli.Ole wenu msigome...