MADAKTARI,WALIMU....ole wenu MSIGOME...

MADAKTARI,WALIMU....ole wenu MSIGOME...

kwa mchezo huu ccm ikishnda 2015 inabidi iundwe tume tujue wameshindaje shindaje mana kila mtu haipendi
R.I.P chichiem
kumbe haya nayo mambo ya kiCCM bora wagesubiri 2015! ! labda watasikilizwa
 
Watanzania wananikumbusha enzi za ludism pale ludists walivyokua wakidestroy machines wakiamini machines ndio adui wao wakati adui wao walikua ni capitalist ambao ndio waajili wao.WATANZANIA HAPA ADUI YETU NI SERIKALI NA SIO MADAKTARI JAMANI,DAKTARI HANA KOSA NA SISI HATAUNA MKATABA NA DAKTARI BALI NA SERIKALI.LET'S STOP CHASING THE WRONG ENEMY AS THE LUDIST DID!.

Tuko pamoja Mkuu! Serikali ndo inakusanya kodi zetu na ndo inawajibika kuipangilia matumizi kadiri ya vipaumbele! Tukiendelea kuruhusu vipaumbele viwe siasa na wanasiasa basi tusibirie migomo toka kada zote za wasomi na wataalamu!
 
haisaidii kupinga mgomo tetea maslahi ya madaktari ili upate huduma unayo stahili, huyo dokta akikutibu katika mazingira magumu yaliyopo bila dawa wal vitendea kazi unafikiri utapona
 
hivi huu mgomo ni watanganyika tu au wazanzibari pia wapo??
 
Back
Top Bottom