Mwasi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2010
- 246
- 87
Madaktari wetu msilegeze kamba madai yenu ni ya msingi kabisa.I think si kwamba Drs wanachodai ni kuwa superclass. infact watumishi wa kada zote wanatakiwa kuungana na madoctors ili mfumo mzima wa mapato kwa wafanyakazi uwe fair. Unajua kwa nini serikali inagoma wito wa CDM kuondoa posho zisizo za lazima? huko ndiko wanakoponea na kuchakachulia mabilioni ya pesa yanayowafanya waishi kama superclass.
Mishahara yao ni kama yetu tu. And I am sure ukiwauliza mishahara yao ghafla hawawezi kukumbuka kwa kuwa wanaishi kwa posho tu. Si umesikia juzi ikulu ikikanusha kutumia mil 300 msafara wa rais lakini ikapotezea kusema ni Sh ngapi?
Hebu niambie sitting allowance ya 200,000 kwa KUKAA "mchana" kwenye mjengo na 10,000 kwa kukesha unazalisha akina mama?