talikcharles
Member
- Jan 4, 2012
- 5
- 0
Hivi kweli unaweza kununua tairi mpya za gari ikiwa gari lenyewe
halina mafuta
viongozi wakuu serikali ya tanzania mnaakili timamu au mnakurupuka tu hivi kwanini hizo posho msiziamishie kwenye mishahara ya madaktari wetu kwa kuwatengea bajeti iliyonona wafanye kazi ktk mazingira sahih kwa huduma sahih ? Au kwa sababu mkiugua nyie hutibiwa nje ila kumbukeni hizo ni pesa zetu tukiwachoka tutawachosha maana nibora mniue kwa risasi kuliko kufa kwa ugonjwa wenye kutbka karne hii ya 21.Jamani hivi kp bora wagome madaktari au wagome wauza sura mjengoni jamani angelikuwepo mwasisi tungepona sisi kwa kheri hayati TANZANIA
halina mafuta
viongozi wakuu serikali ya tanzania mnaakili timamu au mnakurupuka tu hivi kwanini hizo posho msiziamishie kwenye mishahara ya madaktari wetu kwa kuwatengea bajeti iliyonona wafanye kazi ktk mazingira sahih kwa huduma sahih ? Au kwa sababu mkiugua nyie hutibiwa nje ila kumbukeni hizo ni pesa zetu tukiwachoka tutawachosha maana nibora mniue kwa risasi kuliko kufa kwa ugonjwa wenye kutbka karne hii ya 21.Jamani hivi kp bora wagome madaktari au wagome wauza sura mjengoni jamani angelikuwepo mwasisi tungepona sisi kwa kheri hayati TANZANIA