Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,071
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
utoto unazidi kukuponza ndugu, hivi maneno yote ukaona uongee haya.
Unatia haibu sana
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
Natamai kesho CUF waite press conference watoe misimamo juu ya haya mambo
CHADEMA washashindwa kazi
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.[/QUOT
It's a pity kuendelea kuwagawa watanzania based on religion. Na nina uhakika anayeongelea mambo ya dini na ukabila kila wakati hajaenda shule na kama amekwenda basi IQ yake ni ndogo sana
SASA NAAMINI: CCM=UDINI, NA UDINI = CCM. Kwa nini? Kila mchangiaji wa mada katika dau hili anayetetea CCM ni lazima aweke kikolezo cha udini! UJINGA MTUPU! Imani yangu inakuhusu nini wewe jirani yangu katika utaifa na jamii yetu! Mbona tumeishi vizuri tu pamoja watu wa dini mbali mbali tukajinyima tukapigana mpaka tumeupata utaifa wetu uliokuwa ndani ya ukoloni, huku Bara chini ya Waingereza na kule Kisiwani chini ya Sultan!
Angalia udini unavyoleta madhara! Kule Nairobi leo wamepiga mabomu! NINYI CCM- wavueni magamba wenye kuleta udini katika chama!
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
nchi iko kwenye kipindi kigumu
badala ya chama pinzani kuja na njia na misimamo juu ya haya mambo wao wamekaa kimyaaa
tunazidi kupata rangi yenu halisi. Asante mungu.CHADEMA tunapinga madaktari kutoka nchi yeyote ya kiislamu, tuendelee na mgomo tu.
Inamaana mwafaka na hawa wakwetu umeshindikana? Au serikali inajidai kuleta ubabe wa kipu.uzi kujidai inaleta madaktari kumbe nyuma ya pazia wanakaribisha majangili? Vip kuhusu mawasiliano kati ya mgonjwa na daktari watatumia lugha gani ili waelewane?