mxyo16
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 1,243
- 760
- Thread starter
- #21
Kujikondesha sana nako kubaya
Hawa ni wajanja.....na hizi kazi zao huwa ni seasonal ...kwahiyo inapofika season ya kufanya marketing ili utengeneze fweza ni lazima tu u comply na industry requirements, competition.....ndio hapo kushindia maji na ka apple kamoja...na vi food supplement....wanatia hurumana wanaongelea...ila ndio wana make mane...season ikiisha huwa wengine wanajiachia..