Madada wazuri- Pretty girlz

Madada wazuri- Pretty girlz

mxyo16

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
1,243
Reaction score
760
Nilishawahi kumsikia dada mmoja mtoto wa town....alisema wanawake wazuri sio malaya ila wanaume wengi huwafuata hao wanawake...

Cheki Tyson enzi zile na Naomi akiwa bado m-bichi....

2F2C2DF200000578-3351255-Shots_from_the_volume_include_a_shot_of_British_supermodel_Naomi-a-96_1449847387336.jpg
 
Kumbe wanaongia kwenye fani ya urembo na kupaka yale mamekapu yao huwa yanawabadilisha na kuondoa uzuri asilia eeehhh. Yaaani baada ya kuona picha ya huyu dada alivokuwa mrembo na hapo ni asilia labdahizo nywele. Ila uso uko so natural hadi raha. Ila picha za baadae sijui kapaka mekapu ya black sijui mekapu ya gold brown yaani wazungu wabaya sana wameharibu uhalisia wa huyu dada.

Nimejikuta nawaza tuu, kwani haiwezekani mtu akawa mrembo bila mekapu? na akashiriki hiyo fani ya urembo bila mekapu?................
 
Kumbe wanaongia kwenye fani ya urembo na kupaka yale mamekapu yao huwa yanawabadilisha na kuondoa uzuri asilia eeehhh. Yaaani baada ya kuona picha ya huyu dada alivokuwa mrembo na hapo ni asilia labdahizo nywele. Ila uso uko so natural hadi raha. Ila picha za baadae sijui kapaka mekapu ya black sijui mekapu ya gold brown yaani wazungu wabaya sana wameharibu uhalisia wa huyu dada.

Nimejikuta nawaza tuu, kwani haiwezekani mtu akawa mrembo bila mekapu? na akashiriki hiyo fani ya urembo bila mekapu?................

Wewe hupaki mekapuuu!!
 
Ndio nini ?

1989, tyson akiwa kwenye peak, akiwa na super model very young naomi camppbel.....enzi hizi tv hakuna, magazeti labda africa now...otherwise ni redio tu kwakwenda mbele......eneo nililokua nakaa mimi miaka hiyo antena za tv zilikua katika nyumba mbili tu
 
Kumbe wanaongia kwenye fani ya urembo na kupaka yale mamekapu yao huwa yanawabadilisha na kuondoa uzuri asilia eeehhh. Yaaani baada ya kuona picha ya huyu dada alivokuwa mrembo na hapo ni asilia labdahizo nywele. Ila uso uko so natural hadi raha. Ila picha za baadae sijui kapaka mekapu ya black sijui mekapu ya gold brown yaani wazungu wabaya sana wameharibu uhalisia wa huyu dada.

Nimejikuta nawaza tuu, kwani haiwezekani mtu akawa mrembo bila mekapu? na akashiriki hiyo fani ya urembo bila mekapu?................

Ni kweli mkuu huyu dada ni mzuri sana, na akiwa haja weka make up...saaana nasisitiza maana nimesha mshuhudia mara kibao nikajiuliza maswali kama wewe....

labda wazungu wanapenda ma makeup
 
Hivi jamaa kiuchumi yukoje saa hizi!!?, maana kuna taahira mwenzake sijui myweather ameanza kutapanya mali. Kwa kweli Trump kasema ukweli kuhusu mwafrika.
 
Kumbe wanaongia kwenye fani ya urembo na kupaka yale mamekapu yao huwa yanawabadilisha na kuondoa uzuri asilia eeehhh. Yaaani baada ya kuona picha ya huyu dada alivokuwa mrembo na hapo ni asilia labdahizo nywele. Ila uso uko so natural hadi raha. Ila picha za baadae sijui kapaka mekapu ya black sijui mekapu ya gold brown yaani wazungu wabaya sana wameharibu uhalisia wa huyu dada.

Nimejikuta nawaza tuu, kwani haiwezekani mtu akawa mrembo bila mekapu? na akashiriki hiyo fani ya urembo bila mekapu?................

Black beuatiful ni bidhaa inayotoweka kwa kasi duniani, na cha ajabu sijaona NGO iliyojitokeza kuokoa hilo.
 
Hivi jamaa kiuchumi yukoje saa hizi!!?, maana kuna taahira mwenzake sijui myweather ameanza kutapanya mali. Kwa kweli Trump kasema ukweli kuhusu mwafrika.

Achana naye huyo taahira kwa sababu hukumsaidia kutafuta..
 
Hivi jamaa kiuchumi yukoje saa hizi!!?, maana kuna taahira mwenzake sijui myweather ameanza kutapanya mali. Kwa kweli Trump kasema ukweli kuhusu mwafrika.

anatia huruma kajishusha, na kuadmit makosa yake. kaomba msamaha karudisha heshima...analipwa ku show up on some shows, movies etc....hali simbaya sana ameanza kutengeneza millions ila hachezei hela kama anavyofanya maywether sasa hv

Feza bwana tuitafute tu ila ina madhara yake........


Mike_Tyson.jpg
 
Wewe hupaki mekapuuu!!
Msema ukweli mpenz wa Mungu, on daily basis sipaki mekapu ila kukiwa na special occasion napaka very light mekapu kiasi kwamba hutagundua tofauti. Na occasion nyingine natokeaga hivohivo bila mekapu. I like being simple basi.
 
Ni kweli mkuu huyu dada ni mzuri sana, na akiwa haja weka make up...saaana nasisitiza maana nimesha mshuhudia mara kibao nikajiuliza maswali kama wewe....

labda wazungu wanapenda ma makeup
Kiukweli kuna wazungu ambao ni wazuri wa sura pia bila mekapu ila uzuri wa kiafrika ni mzuri zaidi. Mie naona hizo mekapu wameleta wazungu ili kutuma ribs ngozi tuu maana kama issue ni mekapu basi tupake ile ya kimasai inaitwa sijui loshoroo sijui loshoo iko ya unga hivi mlainii kama udongo. Wakati tunasoma sekondari huko mabwenini tuliupaka sana. Walau huo hauna madhara kama hayo maunga yao
Kwanza sijui hata kama kuna mrembo yeyote anayetumia hizo mekapu huwa anasoma au kutaka kujua hizo mekapu zimetengenezwa na kitu gani yaani ingredients. ....
 
Black beuatiful ni bidhaa inayotoweka kwa kasi duniani, na cha ajabu sijaona NGO iliyojitokeza kuokoa hilo.
Umenipa idea, ngoja niiandikie paper kisha niitafute fund NGO tokomeza artificial and maintain naturality.
Ila wanaume mna nafasi kubwa sana ya kuuzuia hii kitu. Yaani kuanza kuwa reject wale wanaotumia mikorogo na kuwapita kama hamuwaonihata wawe wazuri vipi, shida yenu tuu hamtaweza kuvumilia kufunga zipu mtaifungua tuu halafu mkishamwaga mnaanza kumnanga mschana mwenyewe many were ya wafu kope za katani kucha za plastiki uso Fanta mkono na miguu Pepsi na madogo kibao.
We use asilia nao wapo wapate ni hao ila wale wa dukani muwagwae ili wajipende wakawa na rangi zao asilia.
 
Kiukweli kuna wazungu ambao ni wazuri wa sura pia bila mekapu ila uzuri wa kiafrika ni mzuri zaidi. Mie naona hizo mekapu wameleta wazungu ili kutuma ribs ngozi tuu maana kama issue ni mekapu basi tupake ile ya kimasai inaitwa sijui loshoroo sijui loshoo iko ya unga hivi mlainii kama udongo. Wakati tunasoma sekondari huko mabwenini tuliupaka sana. Walau huo hauna madhara kama hayo maunga yao
Kwanza sijui hata kama kuna mrembo yeyote anayetumia hizo mekapu huwa anasoma au kutaka kujua hizo mekapu zimetengenezwa na kitu gani yaani ingredients. ....

Wazungu wanatisha sana katika maswala ya utafiti, wameshapita kwenye makabila yote na kujifundisha hizo make ups za makabila mbalimbali......

Big cosmetic companies kama procter & gamble, l'oreal, uniliver, johnson johnson etc wamesha tengeneza fedha ya kutosha hata ku sponsor researches on new cosmetics.....kwahiyo wanampa mtu fedha anaenda umasaini anaishi nao miaka kumi kama mjinga aki study applications za mitishamba yao kwa ngozi na kwenda kutest kwenye maabara zao na kuunda new products well perfumed, package za maana....marketing ya hali ya juu ...na kumake more money
 
Hiyo picha aliyoinama kimgongo kukirudisha kwa nyuma ametoka mtamuu. Hasa hizo lips so sweet for denda and mike performance ......

hahahhahhaa si ndio pozi za wadada siku hizi......ila mkao kama huo ni rusha roho kwa mwanaume...sijuagi kama wanawake wakikaa hivyo wanajua impact kwa akili za wanaume....maana hapo wanaume wengine anai picture as a throw back ass..in action..
 
Wazungu wanatisha sana katika maswala ya utafiti, wameshapita kwenye makabila yote na kujifundisha hizo make ups za makabila mbalimbali......

Big cosmetic companies kama procter & gamble, l'oreal, uniliver, johnson johnson etc wamesha tengeneza fedha ya kutosha hata ku sponsor researches on new cosmetics.....kwahiyo wanampa mtu fedha anaenda umasaini anaishi nao miaka kumi kama mjinga aki study applications za mitishamba yao kwa ngozi na kwenda kutest kwenye maabara zao na kuunda new products well perfumed, package za maana....marketing ya hali ya juu ...na kumake more money
Aiseeh.... so they beat around the bush....
 
Back
Top Bottom