Kwa nn hawa dada zetu
ukianza nao uhusiano uwa wanamgeuza mwanaume ndo kila kitu yan ndo kama
wazaz wake mana atataka umlishe,umnunulie vitu kama nguo za ndan na
umlipie ada,how come majukumu ya wazaz wako yawe yangu?ina maana mimi
sina ndg wa kuwajal mpaka nikuangaikie wewe.Mnaboa sana masista due njaa
mana mtu akikuambia hana kitu unamchukia na akikuambia kwan mwanzon
kabla hujawa na mm ilikuaje?anasema usinione kama nna dhiki sana ila kwa
hali ilivo ni kama una dhiki
Mnafanya wanaume tusione thaman ya hela yetu na tuone thaman ya
kukupendezesha wewe wakat tuna ndugu na jamaa wana shida na tuna wajibu
wa kuwasaidia.
Samahan kama nimekukwaza ila nimeongea uhalisia na vitu ambavyo
vmentokea na imeniuma sana mana mdada anasema simpend kwa sabab
nimeshndwa kumtimizia mahitaj yake na nimemjibu kama mapenz ni hayo then
mimi sipo tayari na huko huru kufanya uamuz unaotaka na analaum kua
nimemuharibia maisha.