King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,603
mtu yeyote mwenye akili timamu anapenda hela mkuu...ndo maana tunajishughulishana madada wengi wa jf wanapenda hela hao utafikili walizaliwa store room za benk
sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
laki si pesa mpenzimpenzi nikopeshe laki mbili, nirushie kwenye m-pesa yangu
Sidhani kama mleta mada anamuongelea "mke"... yaani ndo utajua kiwango cha ugumu wa maisha Tz hii.
hahaaa sisi ni stimulator eeehkati ya majukumu niliyonayo na kucare wadada limo na ndio matumizi ya pesa.
Ingekua sio na wadada nisingetafuta pesa hivi.
Kwangu. Ndio ukweli wenyewe na wangu bila babies figher asingefight hivi!!ndio maana yake, bila ugumu wa maisha huwezi kutana na hayo mambo tegemezi
Yan wewe ndo mwanaume wewe
Mi nashangaa jimtu linaela ukiomba halitoi wakati ela kaz yake matumiz pumbavu kabisa sasa sijui anatafuta ela ya nn shenzi ya nahasira
Huwa mnawaokotea wapi hao wa hivyo?
Sidhani kama mleta mada anamuongelea "mke"... yaani ndo utajua kiwango cha ugumu wa maisha Tz hii.
Naunga mkono hoja. Unajua tatizo la sie vijana wengi ni kupenda matawi ya juu. Penda saizi yako na matawi ya juu waachie vizee na wauza unga period. Akizingatia ushauri huu hataleta tena sredi kama hizi kwani kuku hujasikia hata siku moja kakwamwa na chakula kwa maana hula kulingana na mdomo wake. Wanjinjo tuna usemi kuwa ukitafuna mifupa lazima ukubaliane na jinsi ya kuitoa kwa kabaaang.Zilaumu genye zako, kama pesa yako inakuuma acha kutongoza. Hakuna atakayekushika kwa nguvu barabarani kukupa bill.
Kwangu. Ndio ukweli wenyewe na wangu bila babies figher asingefight hivi!!
Siyo mabahiri bali wamepigika, tofautisha ubahiri na poverty.
Mwanaume yeyote kamili mwenye pesa ambayo si ya mawazo kuhonga na kumuhudumia demu ni sehemu ya ibada.
Mimi minoti ikikoseaga njia huwa nawatumia kwa M pesa hata wale zilipendwa, huwa nageuka Max malipo ghafla.
Embu waambie hao sio ubaili umejaa unataka mwanaume mwenzio audumie au
Zilaumu genye zako, kama pesa yako inakuuma acha kutongoza. Hakuna atakayekushika kwa nguvu barabarani kukupa bill.
Bandiko langu linajitosheleza wala halihitaji maswali ya nyongeza, mimi siyo product ya Mulugo na Shukuru Kawambwa.je kipindi ambapo hazijakutembelea inakuwaje?
Bandiko langu linajitosheleza wala halihitaji maswali ya nyongeza, mimi siyo product ya Mulugo na Shukuru Kawambwa.