figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #61
asant mkuu.miaPole mkuu.mia
asant mkuu.miaPole mkuu.mia
sikushauri ufanye hivyo.hata vibaka hawakabi maeneo ya nyumbani kwao.ukifanya hivyo heshimaa yako itashukaa kitaani kwenu.inatakiwa uyafanyie mbali.miahahaha! hiyo biashara ya kupendana kwenye mabasi unaiweza wewe tu figga. nishindwe kujilengesha hata kwa majirani ama ndugu za majirani? kha!
hahahaaa.miakwanza unaongea nao wa nini. Kula kimya watajigonga wenyewe alafu unafanya .... Crime
nishauri mkuu,ningemuingiaje?miaWe mwenyewe umejiingiza kibiashara na yeye anafanya biashara
asante lakini kinini cha bule.miapole umekutana na wakulipia ulikuwa unataka cha bure
asante mkuu kwa ushauri.miaKi ukweli lazima uwe na kiasi c kila mwanamke wa kutongoza ati kisa umekaa naye siti moja mara 1 moja jiweke busy na mambo ya muhimu...
mkuu wa biashara najua wanapo patikana.nikienda pale tunaonga bei tu sio kuombana namba.miaSo you have to talk business mia! Mbona tena unalalama?
basi imekula kwangumiaTamaa si nzuri sana ktk maisha haya... Alifanya vema kukutishwa matatizo yk sasa unalalamika nn? Wenzio wanavitunza na kulea co acha kulalamika hamna bure
Wa2 kama nyie ndo nawataka kweli
mnaboa ile mbaya
utakuta mtu unamambo yako kibao kazi kuita tu dada dada
kama ndo mm nakuomba vocha humohumo kwenye gari.
maana najua ndo njia mojawapo ya kuacha usumbufu wako
mambo gani ya kutongozana kwenye madaladala.
Ahaaaa vocha kwani tatizo unampa 1oo
umeona eeh? Watu kama hawa unawakimbiza kwa mizinga tu.
kama ni wewe imekutokea figanigga safi sana, ukome kujipendekeza kwa vibinti virembo, wengine ni machangedoa wapo kazin we unashobokea. Wacha wakuchune mkuu. Mia.
Hapo Jigga anakwambia "I got my suspicions, that you're just fishin in a pool of sharks" . Tafuta sehemu zinazohusika. Sio ukiona kichaka tu unataka kwenda haja.
Ukitaka kula kila kitu utakula mpaka matunda ya sumu.
kama nakutaka usitegemee ntakimbia.cha kufanya ntakua naleta mboga na kuhakikisha nmekula nlipopeleka mboga.mia
Sasa atajuaje una mambo yako kibao ili asikuite???Wa2 kama nyie ndo nawataka kweli
mnaboa ile mbaya
utakuta mtu unamambo yako kibao kazi kuita tu dada dada
kama ndo mm nakuomba vocha humohumo kwenye gari.
maana najua ndo njia mojawapo ya kuacha usumbufu wako
mambo gani ya kutongozana kwenye madaladala.
Duh! Wakaka mnaotuongelesha ongelesha kwenye magari mnakera jamani.
Mmmh.... Mia!