Simba hauwi watoto wake,ila akimkuta jike na watoto wa dume jingine huwaua na kuzaa wa kwake,sabab kubwa n huwa anahisi ile damu ambayo siyo ya kwake itakuja kumpindua na kumuua baadae.Simba anahusudu ngono. Jike akijifungua hutakiwa kulea watoto hivyo hawezi kushirikitendo kwa kipindi hicho. Simba dume akiona hivyo anachofanya ni kuua wale watoto ili mama awe free na yeye aendelee kupiga mambo yake.
Mnyama mwingine mpenda ngono ni dolphin, dolphin wao hubaka na ubakaji wao hauishii kwa dolphins wenzao wanabaka kila wanachoweza kukibaka. Kwenye documentary moja dolphin wawili walimbaka seal mmoja mpaka seal akafa.
Na hao dolphins waliendelea na ubakaji saa 2 baada ya yule Seal kufa.
Simba kupinduliwa kupo pale pale. Hata ndugu aliozaliwa nao au wanae.Simba hauwi watoto wake,ila akimkuta jike na watoto wa dume jingine huwaua na kuzaa wa kwake,sabab kubwa n huwa anahisi ile damu ambayo siyo ya kwake itakuja kumpindua na kumuua baadae.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mm nmesema nnachokifaham mkuu,if unajua zaidi sawa.Simba kupinduliwa kupo pale pale. Hata ndugu aliozaliwa nao au wanae.
Simba jike hurudi kwenye heat once watoto wakiuawa, simba jike hujitenga kwa muda wakati akilea watoto kabla hajawaintroduce kwenye pride.
Siku anayokuja kuwaintroduce kwenye pride simba baba akifeli kuwajua watoto kama wake huua ilik kumrudisha simba jike kwenye heat. Now wanyama hujuana kupitia scent so this lion knows the scent of his lioness na anajua alimpa mimba yet when she comes back with kids anafail kuwajua?
Hahahahaha
Cuckoo jana nacheki kawatupa watoto wote kwenye kiota akabaki mwenyewe
Sasa nachoshangaa huyu ndege mama wa wale watoto hashtuki tu kuwa analisha mtoto sio wake? Halafu hakujisumbua kuwatafuta wanae waliotupwa[emoji849][emoji849]
Hapa ninapoishi hawa na green mamba wapo kibao
Hapa ninapoishi hawa na green mamba wapo kibao
Sio koboko yule ni mshali au yule spitting cobra wale ni washali.Ni kweli, nyoka tunapishana nao tu mara nyingi bila kujua na wala hawatufanyi kitu kwa kuwa tunapopishana nao bila kujua wao wanapata taarifa kwamba hatujamuona ila ukijua tu wanapata taarifa kwamba umeshajua au ukimkanyaga wanapata taarifa kwamba umemuona hivyo huchukua tahadhari kwa kukung'ata.
Komba ni walevi hatari.. miaka ya nyuma kabisa tunahamia kigamboni sehemu moja inaitwa mjimwema enzi hizo baado(miaka ya 99 to 2000 mwanzoni) niliwafaidi hawa viumbe, kuna mmoja alianguka mchana yaana kanaonekana kamelewa kabisa [emoji23]Pen tailed tree shrew, kipanya kidogo , nadhani ni jamii ya komba, kinachopiga gambe siku nzima.
Kanaishi kwenye minazi na kakinywa nectar iliyooza (ferment) ya maua ya miti hiyo (bertam palm). Hiyo nectar inaweza fikia alcohol content ya ya 3-4%,
. Nilisikia kuwa komba (bushbaby) nao ni wapenzi wa pombe, kama kuna komba anaishi kwenye mti karibu na nyumba yako, ukiacha glass ya bia nje usiku, asubuhi utakuta komba alishajisevia.
Mimi ningekuwa huyu ndege madem nisingepata maana kupangilia geto sijui [emoji23]Bowerbird, huyu ndege vijana wa JF wanaweza kumuita baharia wa ndege. Wa kiume wanajenga viota na kuvipamba vizuuri ili kuvutia mpenzi. Wa kike wanakagua na kuchagua kiota kipi kimependeza ndo anaingia/kubali kuwa na huyo dume. Wako vizuri sana katika kupangilia rangi na wanatumia kila aina ya vitu kupamba kiota kama vile mawe, maua, vitu vya kibinadam kama vifuniko vya chupa, vipande vya glass...
Kibongobongo huyu ndege ni baharia mwenye ghetto lenye carpet la manyoya na bonge la sofa, huenda na subwoofer pia
Hao taarifa zao zinachanganya nyoka ambaye hutafuta ugomvi actively 100% ni American Bush Master.Sio koboko yule ni mshali au yule spitting cobra wale ni washali.
Bika shaka australia ndio taifa lenye wadudu wenye sumu kali kuliko lolote lile, ukifatilia utaona katika wadudu wenye sumu kali basi asilimia kubwa wanatokea huko.Nyoka mwenye sumu kali duniani yupo Australia. Anaitwa Inland Taipan ndugu yake wa karibu ni Coastal Taipan wana death toll kubwa kwakua hakuna antivenom bado.
Hata hivyo ukiwa Australia hao siyo wanyama pekee wa kuwahofia. Utatakiwa uwahofie Stone fish, Box Jellyfish ambao wana sumu kali isiyo na tiba kokote. Kangaroo inabidi uwakimbie achana na muvi adult kangaroo is deadly, na Great White Shark hawa papa hukua mpaka kufikia futi 25.
Hata hivyo chakula cha papa kikuu ni seal, papa hawindi binadamu actively. Ikatokea papa amekutana na binadamu hufanya ile kumzunguka zunguka kujaribu kung'amua hiki ni kiumbe gani. Akiona haelewi anang'ata kisha anagundua huyu siyo seal anaachana na wewe. Ndiyo maana wanaokufa kwa ajili ya papa hua ni majeraha yanayotokana na kung'atwa vital organs.
That aside I wish niseme nothing can stop Great White Shark ila hapana hawa papa huuawa na Orcinus Orca au Killer Whale. Wote tunajua whales hawali papa hivyo kuwaua papa hawa itakua wanachukulia mchezo anyway, these whales have learn't kwamba papa wanahitaji kua in a movement muda wote so wanachaofanya ni kumvizia papa wanamtokea kwa chini kisha wanakua kama wanamnyanyua hivyo kuzuia movement.
100% uko sahihi katika hili.Sumu ya nyoka huitwa venom na siyo poison. Venom ni sumu ambayo ili ifanye kazi inatakiwa iingie kwenye mishipa ya damu wakati poison ufanyaje wake kazi huweza sababishwa na hata kuigusa tu au kuimeza.
Kutokana na hilo inawezekana ukanywa sumu ya nyoka na usife kwakua ikifika tumboni itameng'enywa kama vyakula vingine tu.
Mkuu hi ni fix, kinyonga hazai kwa namna hiyo ni hadithi za utoto, leta ushahidi juu y hiki chief.Mkuu;
1.Kinyonga:
Kinyonga ni mnyama mwenye Upendo wa hali ya juu. Anapofikia hatua ya kuzaa, hupanda juu ya mti mrefu sana na hujiachia/hujidondosha na akifika chini hupasuka/husambaratika ili watoto watoke. Anakufa kwa ajili ya watoto kuishi. Anajifanyia caesarian section Binafsi
2. Mbwa koko:
Mbwa mwenye watoto hubangaiza na akirejea /akirudi pale kwenye kundi la watoto huwatapikia chakula alichookoteza na maisha yanasonga. Usipolielewa hilo utakereka na kuona kinyaa sana kwa Tabia hii.
3.Binadamu:
Binadamu hapendi kuambiwa UKWELI kwamba yeye ni mmojawapo wa WANYAMA tena mnyama hatari zaidi Duniani. Bora Ukutane na kundi la Simba kuliko kukutana na Binadamu mmoja hususan adui yako!
Ahhh kweli akili za ndege za kindezi[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye anaona mayai yake labda nyoka kayala
Cha ajabu rangi ya mayai ni tofauti ila kwa kuwa ni akili za ndege basi tumhurumie tu
Hata binadamu kwenye taasisi nyingi cuckoos wapo kutwa kutuomba rushwa [emoji23][emoji23]
Wanaleta masihara na mjomba snake.Hao taarifa zao zinachanganya nyoka ambaye hutafuta ugomvi actively 100% ni American Bush Master.
HahahaKomba ni walevi hatari.. miaka ya nyuma kabisa tunahamia kigamboni sehemu moja inaitwa mjimwema enzi hizo baado(miaka ya 99 to 2000 mwanzoni) niliwafaidi hawa viumbe, kuna mmoja alianguka mchana yaana kanaonekana kamelewa kabisa [emoji23]
Night unasikia kelele ukipig tochi kwenye mnazi unakuta katulia anafanya yake.. walikuwa wanatembea saana kwenye nyaya za umeme pale mtaani.
Wanasema huwa wanatafuna madume baada ya tendo ili apate nguvu(msosi mwilini) kwa kipindi hiki cha kujiandaa kupata watoto.View attachment 2042637
Vunjajungu ni mdudu hatari sana kwa wadudu, mijusi na ndege wadogo. Huwa anakamata chakula na miguu yake ya mbele yenye miiba miiba na kuanza kumla sekundee hiyo hiyo, hivyo chakula kinakuwa bado kinaishi wakati kikiliwa.
Huwa wanakula hata vunjajungu wenzao. Wakati wa show, wa kiume anabidi apige mahesabu ya calculus anapompanda wa kike maana mara nyingi akiingia vibaya akakamatwa na wa kike, wa kike anakuwa anamla wa kiume akiwa anaendelea na tendo.
Inasemekana kichwa na kiwiliwili vinajitegemea, hivyo kichwa kinaweza kuwa kinaliwa huku kwa chini wa kiume aneandelea na majukumu ya ndoa. Mara chache huwa wa kiume anaweza kutoroka baada ya tendo la ndoa.
Nimeishi Kigamboni kuanzia 2013 mpaka 2017 bado Komba walikuepo wa kutosha na tabia yao ya ulevi juu ya nyaya za umemeKomba ni walevi hatari.. miaka ya nyuma kabisa tunahamia kigamboni sehemu moja inaitwa mjimwema enzi hizo baado(miaka ya 99 to 2000 mwanzoni) niliwafaidi hawa viumbe, kuna mmoja alianguka mchana yaana kanaonekana kamelewa kabisa [emoji23]
Night unasikia kelele ukipig tochi kwenye mnazi unakuta katulia anafanya yake.. walikuwa wanatembea saana kwenye nyaya za umeme pale mtaani.
Huyu mjomba akifanya hheeee!!(akiunguruma) unaweza kusikia hata zaidi ya umbali wa kilometa 1/2 tena ni radius hiyo..