Mada mezani

Mada mezani

fasepa man

Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
10
Reaction score
7
Kwanini mwanamke akiambiwa yuko makin like kidume anajiskia fahari tufauti na mwanaume kuambiwa ana mambo ya kike?
 
Uwe mwanaume uambiwe una mambo za kike unaanzaje kuchekelea??? Assume vile mwanamke hua halaf ndio unaambiwa una habar ka hizo
 
Kwanini mwanaume akiambiwa ana msambwanda anakasirika?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom