Nimekutumia picha ya ndalaShikamoo dada nitakuambia nini lilitokea...
Kweli mkuu hiko kilabu, Kama balimi wewe DonMjomba wenu napigia monde/vyombo kwenye kilabu ambacho hakina hata sakafu wala nini. Hapa Mimi ndio Star it feels good kukaa na wajinga I fell like genius.
Ukiagiza balimi kila mtu anakushangaa hapa sababu pombe wanazokunywa ni za jero jero...inanifanya naonekana kama Billget kisa nimeagiza Balimi.View attachment 863113
Unaweza ukashangaa unaletewa hata chakula kutoka nyumbni ila tatizo la kilabu utakuta mwanamke mmoja wa wote na pia mmoja akianza tb wote maana wanashea gilasi na kilabuni hewa ndogoSi unaona mzawa hata sakafu hamna! maisha hayajawahi kuwa magumu hata siku moja ni sisitu ndio vichwa ngumu. Siku nikija na Dompo nawachukulia watu wake zao mchana kweupeee hapa kilabuni.
Ulabu si chai bandugu.TAHADHARI
Jikagueni Walevi kabla hamajarudi homeView attachment 863118
Mkuu unakula vitu vya fire extinguisher
Hivyo ni vilabu vya Iringa hapa nilipo vilabu ni classy na clean mno. Mademu ni wakutosha na wote ni wa kienyeji... Ndio wanaonileta hapa kwa uumini wangu wa bidhaa za kienyeji. Situmii glasi natandika tarumbeta mwanzo mwenga.Unaweza ukashangaa unaletewa hata chakula kutoka nyumbni ila tatizo la kilabu utakuta mwanamke mmoja wa wote na pia mmoja akianza tb wote maana wanashea gilasi na kilabuni hewa ndogo
Nikajua na machozi ya Simba yapoHivyo ni vilabu vya Iringa hapa nilipo vilabu ni classy na clean mno. Mademu ni wakutosha na wote ni wa kienyeji... Ndio wanaonileta hapa kwa uumini wangu wa bidhaa za kienyeji. Situmii glasi natandika tarumbeta mwanzo mwenga.
Mie tayari najiwahi bed
Nimeamua kurudi kwenye Safari kubwa tu maana Sina jinsi siwezi kuhama TBL
Aliyegundua hii kitu ashukuriwe sana, siku hizi uwezo wa kupiga vikali unapungua kwa kasi, au sijui ndiyo nataka kuokoka au ni nin hiki, mana napiga vi serengeti tu.
View attachment 863150
Utaulizwa cheti Cha chekechea mkuuWengine tupo road msimwambie ninja kangi.
mamaeeeWengine tupo road msimwambie ninja kangi.
Usiwaze mkuu,tunapark tunagonga vitu tukilewa tunalala kweny cabinmamaeee
hii safari sijui kama itafika mwisho