Balimi ukinywa unalewa alafu unashibaHivi balimi ni bia nzuri... Nataka kuanza kulewa rasmi hivi punde.
Wavunje rekodi kina ronaldo na messi ss wakina nani tusiweke na sisi rekodi zetu kwenye gambe
Hahaha mbagala wanaweza waka wapo kwa mama muuza ( utani tu )Hivi Mbagala hakuna wanachama walipa kodi? Mbona wako Kimya sana?
Tanga je? Na mikoa mingine vepee? Mnatuangusha
Ukisikia wiki ya mateso ndio hiiKumekucha wakuu tuzimue kidogo kabla hatujaamia kwenye Bata lenyewView attachment 874123
Pole mtaaniUkisikia wiki ya mateso ndio hii
Shtua na safari ya baridi utakua poaKvant na Safari ndio zinaniamsha muda huu toka saa sita usiku
nipo kuwa wakilisha mbagala kuna darlive, kisuma langi tatu hapa kuna demu ana mapaja hataree na hipsi lakosa sura tu. bila kusahau clubu masakuu kuna demu wa kila dau hatakama una buku tatuHahaha mbagala wanaweza waka wapo kwa mama muuza ( utani tu )
Ngojea nifanye hvyo mkuuShtua na safari ya baridi utakua poa
Safi sana ,wasalimie hukonipo kuwa wakilisha mbagala kuna darlive, kisuma langi tatu hapa kuna demu ana mapaja hataree na hipsi lakosa sura tu. bila kusahau clubu masakuu kuna demu wa kila dau hatakama una buku tatu
Wacha kazi uone kama tutakuona kwenye huu uzi.Ukisikia wiki ya mateso ndio hii
Marahaba! Umeshaikumbuka tin number yako mi tayariMkuu shikamoo
Nlianziaa kaunta ila nmepitiaa chimbo moja hvi nakandamizaSafi sana ,wasalimie huko
Wacha kazi uone kama tutakuona kwenye huu uzi.
Pambana kaka tulijenge taifa.
Bila kusahau kutulia dk moja kabla ya kuanza kulipa kodi, kwaajili ya janga lililotufika inawezekana kulikua na walipa kodi wenzetu.
Mlikumbuka dk 1 ya maombolezo mkuu?.
kila tukishusha gambeee tunaombeleza ila walevi haapa wanasema viongozi Sumatra wapigwe chini si unajua hakuna watu wenye akili kama wanywaji tuna maono sanaMlikumbuka dk 1 ya maombolezo mkuu?.