Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,729
- 13,748
Wakuu,
Ushawahi kujiuliza hata siku moja kuwa mpenzi wako(iwe mmeoana,mchepuko au mpango wa kando) anakupenda kweli au anakutumia kwa maslahi binafsi akiyapata anakimbia?
Mfano,kuna wanaume wanakuwa na wapenzi wao kwa ajili tu ya kupata burudani ya mwili na moyo lakini hana malengo na huyo mwanamke,mwingine anampenzi wake wa kike kwa vile huyo mwanamke ana hela,hivyo anataka awe anahongwa
Hali hii kwa wadada ndio imetawala,unakuta dada wa watu yupo kimaslahi,kwa ajili ya pesa,zikiisha anakimbia.
Mfano,kuna jamaa anafanya kazi ktk kampuni binafsi,ana pesa lakini ni mbaya kimwonekano,komwe hilo,kichogo na ni black with matege,amemuoa mwanamke mzuri,huyo mwanamke huwa anatamka live kwetu mume wake akiwa kaenda kazini"mimi huyu jamaa sijampenda nimempendea pesa tu,akipokea mshahara nishamwambia tuwe tunaugawana na hufanya hivyo"
Lakini jamaa hujiona anapendwa kweli yani.
Kwa msingi huu,je huyo mpenzi,mwenza wako unampenda kwa sababu gani?
Ushawahi kujiuliza hata siku moja kuwa mpenzi wako(iwe mmeoana,mchepuko au mpango wa kando) anakupenda kweli au anakutumia kwa maslahi binafsi akiyapata anakimbia?
Mfano,kuna wanaume wanakuwa na wapenzi wao kwa ajili tu ya kupata burudani ya mwili na moyo lakini hana malengo na huyo mwanamke,mwingine anampenzi wake wa kike kwa vile huyo mwanamke ana hela,hivyo anataka awe anahongwa
Hali hii kwa wadada ndio imetawala,unakuta dada wa watu yupo kimaslahi,kwa ajili ya pesa,zikiisha anakimbia.
Mfano,kuna jamaa anafanya kazi ktk kampuni binafsi,ana pesa lakini ni mbaya kimwonekano,komwe hilo,kichogo na ni black with matege,amemuoa mwanamke mzuri,huyo mwanamke huwa anatamka live kwetu mume wake akiwa kaenda kazini"mimi huyu jamaa sijampenda nimempendea pesa tu,akipokea mshahara nishamwambia tuwe tunaugawana na hufanya hivyo"
Lakini jamaa hujiona anapendwa kweli yani.
Kwa msingi huu,je huyo mpenzi,mwenza wako unampenda kwa sababu gani?