ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,622
- 791
Nikiweka D haizimi ila nikiweka N inazma baada ya mda kidogo say 3-5sec..Maelezo yako hayajajitosheleza hapo kuna matatizo sehem mbili inawezekana.
Swali je unaposhuka mteremko usipoweka N gari haizimiki ukiweka D unashuka fresh?? Kama jibu ni ndio basi gari haina shida ya umeme.
Kama ukiweka D bado gari inazimika basi hapo kuna shida katika mfumo wa magufa na kitu kinachosababisha kwenye tank ndani huwa kuna kuwa kama kuna kiconterner au kibox kinachohifadhi mafuta ili yasitawanyike kitakuwa na shida.
Ila swal hapa ni kuwa kwann zamn nilikuwa naweka N inakwenda tu na haizimi ila kwa sasa ndio inazima??