Ailars David
Senior Member
- Jul 6, 2017
- 128
- 35
Kila nikiwapigia haipokelewi au inatumiika nifanyeje mkuuKama kuna mtu anaingia udom kwenye kulog in kama aifunguk inatakiwa uwapigie wakupe jina na paswod mpya
Kila nikiwapigia haipokelewi au inatumiika nifanyeje mkuuKama kuna mtu anaingia udom kwenye kulog in kama aifunguk inatakiwa uwapigie wakupe jina na paswod mpya
Kila nikiwapigia haipokelewi au inatumiika nifanyeje mkuu
Mkuu ada unalipa kwa semester,yani igawe kwa mbili then lipa nusu semi ya kwanza then iliyobaki semi ya piliWadau habari za asubuhi!jamani nauliza hivi udom hakuna provision ya kulipa ada(Tution fee)kwa awamu?maana nimesoma maelekezo yao na kama nimeyaelewa wanaelekeza ada yote ilipwe tarehe25.kitu pekee walichogawa kwa semesters ni zile direct cost.naombeni ufafanuzi kwa aliyeelewa vizuri tafadhali.
Hahahahahaaaah kama umemaliza utapamisi sana ng'ong'ona naamin nikitoka info ile ndo misele yanguMkichaguliwa education please msisahau kumsalimia mama bony pale ujasi
Mkuuu sio vizuri kuwakaribisha wenzako kwenye balaa hahahahahaaah lazma prof msele awapige biti la elfu kumi kwanzaUkienda huko kwenye threads za admission results utona ni jinsi gani wanafunzi wanavyoiota UDOM
Karibuni sana CIVE hasa watakaochaguliwa Bsc in Telecom
Ukiingia kwenye UDOM - ALIS LoginMwenye joining instruction atuwekee hapa website haifunguki
Nielekeze jinsi ya ku confirm udom pleaseHivi inawezekana kuwa ktk multiple admission round ya kwanza na uka comfirm lakini usichaguliwe?
Kwani kuna mwanafunzi jina lake halipo na kwenye list ya walio confirm lakini ali confirm online na pia kwa sms kwa namba walizotoa pia aliandikiwa sms toka chuo udom aka confirm pia na kujibiwa hongera umechaguliwa, View attachment 611566
Namfaham vizur mnoooUnamfaham eeh!?
Ingia kwenye website,, then announcementsMsaada jinsi ya ku confirm udom jamani plz
WAPIGIEE SIMU MINAHISI NDIOO NJIA RAHISMsaada jinsi ya ku confirm udom jamani plz
ThankxIngia kwenye website,, then announcements
Utakuta namba Za kutuma
Name, programme and f4 index