Mada maalum kwa wanandoa

[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji851][emoji851][emoji851]wee jamaa mke wako anapata shida daaaah!

Yaan ni unamtaftia kila aina ya sababu haahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh yako Kali asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi suala la ruhusa ya kutoka hilo halipo na halitakuwepo...sijakuoa uje kuwa mlinzi wangu na kunipangia vitu vya kufanya na kutokufanya ati nirudi home saa 1
Ukienda hivyo hamtafika, ndoa ni maelewano na kuishi kwa amani na upendo. Pia kumbuka mumeoana. Lazima kila kitu kuwe na kiasi sio kufanya ili kumkomoa mwenzako. Ana haki ya kukuuliza ulikuwa wapi na pale unapochelewa kurudi nyumbani maana ni mkeo, nyie ni mwili mmoja mumekubali kuishi kama mke na mume hivyo kuna vitu lazima mukubaliane maana kila mtu ana mapungufu yake. Pia hamna sehemu niliyosema mume arudi saa 1 ila nimejitolea mfano mimi na mume wangu huwa tumepangiana kwamba awe anarudi saa 4.
 
Aisee...! Mi nna miezi miwili tu ya ndoa nafikiria kutoa Talaka nibaki maisha yangu ya usela maana kabla sijaoa nilikua na furaha lakini sa hv furaha ni asilimia tano tu
Pole mkuu, hizi ndoa sijui zina nin siku hizi, hapa Nina mwaka mmoja ndoani , lakini I wish nisingeoa, naona kama niliwahi sana kuoa, yaani I am cornerd, napenda kuwa ndoani, lakini sio na mwanamke huyo!
 
Pole mkuu, hizi ndoa sijui zina nin siku hizi, hapa Nina mwaka mmoja ndoani , lakini I wish nisingeoa, naona kama niliwahi sana kuoa, yaani I am cornerd, napenda kuwa ndoani, lakini sio na mwanamke huyo!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji144][emoji144][emoji144][emoji87][emoji87][emoji87]

Jr[emoji769]
 
Jaman nimetengana na mume wangu baada ya kuona vipigo vimezidi ikabidi niondoke niende kwa kaka angu ambaye naye anafamilia yake,nilikuwa nafanya nya kazi katika kampuni Fulani lakini mume aliniachisha kutokana kazi iyo kuwa na shift za usiku na nilikuwa na mtoto mdogo,kwa sasa nilikuwa najishughulisha na biashara ndogondogo apo nyumbani ,ila tangu nimeondoka nipo mkoa mwingine kwa sasa sijasimama vizur kibiashara mana niliondoka pale bila chochote,uyu mwanaume anakomaa yeye atatuma laki 2 tu kwa ajili ya kumtunza mtoto kwa mwezi wakati yye kipato chake kwa mwezi haipungui 1.4milion je nisahihi iyo pesa kwa kipato chake

Jr[emoji769]
Copy n paste from JF post
 
Hongera sana
 
Eliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…