Mada maalum kwa walio katiaka ndoa

Mada maalum kwa walio katiaka ndoa

Uta Uta

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2016
Posts
3,740
Reaction score
8,790
Habari wanajamvi?
Sisi tuliopo katika ndoa tuna changamoto nyingi sana zinazotukabili ambazo baadhi husababisha ndoa kuvunjika. Naona itakaa poa kama sisi tulio katika ndoa tukajadiliana, kupeana ushauri na kushea pamoja raha na shida zetu. Inawezekana baadhi yetu wanapata raha wengine wanazikosa hivyo kupitia hapa tuweze kushauriana ni namna gani ya ndoa zetu ziwe na furaha na amani. Karibuni kwa majadiliano na ushauri
 
Mods naomba mfute huu uzi nimegundua kuna mwingine ulishaanzishwa
 
Back
Top Bottom