MADA: Fahamu kuhusu matumizi au ulaji wa mafuta kwenye gari aina ya Toyota harrier 3.0L (2990CC)

muuza ubuyu

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
3,511
3,477
Habari za mapumziko waungwana!

Ningependa kujua utumiaji wa mafuta wa gari tajwa hapo juu, Toyota harrier! Najua watu wanaiponda sana katika utumiaji wake kwa sababu ya ukubwa wa injini! Sasa kutoka kwa wataalamu, mafundi na wazoefu wanipatie figure halisi ya utumiaji mafuta wa gari hili hasa nje ya miji yaani km ngapi kwa lita moja ya mafuta.

Nishawahi kuwa na gari yenye cc2500 ilikuwa natumia wastani wa 10km/Litre. Mie siishi miji mikubwa kama Dar ila pia mazingira yangu yananihitaji kusafiri kwenda mbali in a limited time na pia nahitaji a comfortable car ndo maana nika-opt toyota harrier 3.0L.

Je, consumption yake ipo below 8km/L?

Please nahitaji mzoefu wa gari hili anipe maelezo mazuri na ya kina!

Thanks.
===
BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU
---
---
---
---
---


Cc LEGE ilonga
 
Sijui kuhusu Harrier ila nina uzoefu wa gari nyingine yenye injini kama hiyo. Highway inafikisha 10Km/L bila shaka na power yake inafurahisha. Ila mjini ndio hutakiwi kuwa na misele mingi kama mambo yako sio safi sana.
 
Sijui kuhusu Harrier ila nina uzoefu wa gari nyingine yenye injini kama hiyo. Highway inafikisha 10Km/L bila shaka na power yake inafurahisha. Ila mjini ndio hutakiwi kuwa na misele mingi kama mambo yako sio safi sana.
Thanks mkuu, mie si mpenzi wa mjini sana mkuu na mjini sipapendi sana maisha ya mbanano na foleni! Ila huwa nakuja mara chache chache kuosha macho
!

Power ya injini hizo nazipenda sana, ngoja wajuvi wa harrier waje!!
 
Binafsi nafikiri Prado ya 2.7lts ingekua ideal kwako au unapenda harrier kwa kuwa C.G yake hiko chini hivyo si rahisi kupinduka.

Kitu kingine mbona kuna harrier za 2.7lts. au unazungumzia za diesel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…