Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
Mi ni mdau mtarajiwa wa hii tasnia. Kuna wadau wawili wapo kwenye kipindi. Mmoja ni baba haji na wa pili anaitwa bishop. Nahitaji sana kuonana na huyu bishop. Kwa yeyote aliyeangalia hiki kipindi au anamfaham naomba mnipatie mawasiliano yake au namna ya kumpata.