Mack D yuko wapi?

Werrason

JF-Expert Member
Nov 5, 2014
12,326
38,191
Leo nimeukumbuka wimbo wa ''jumba bovu''" nimemkumbuka mchizi wa Dar Skendo.

Kuna nyimbo zake kali zilizobamba kama "Baisho" akiwashirikisha unique sisters na wimbo "njoo cheza nami"

Yuko wapi siku hizi?

Anapiga ishu gani?
Muziki ameacha???
 
Leo nimeukumbuka wimbo wa ''jumba bovu''" nimemkumbuka mchizi wa Dar Skendo.

Kuna nyimbo zake kali zilizobamba kama "Baisho" akiwashirikisha unique sisters na wimbo "njoo cheza nami"

Yuko wapi siku hizi?

Anapiga ishu gani?
Muziki ameacha???

Anafanya kazi ya Clearing & forward so kama una gari au makontena nipm nikuunganishe nae.. Mtu safi sana Dizzo
 
Mmh simwombei mabaya ila nadhani rehabu inamuhusu! Hebu muulize kalapina
Nilimuonaga mitaa ya Ulongoni.ana kampuni ya kuclear mahari bandarini.jamaa ana roho ya kipekee.niliomba lift,alinipita na gari nikiwa na mimba ya miez saba kisha mbele kidogo akasimama akanipa lifti.kipindi hiko ni kama miaka minne iliopita. Sitamsahau yule jamaa.sijui yuko wapi sasa
 
Nilimuonaga mitaa ya Ulongoni.ana kampuni ya kuclear mahari bandarini.jamaa ana roho ya kipekee.niliomba lift,alinipita na gari nikiwa na mimba ya miez saba kisha mbele kidogo akasimama akanipa lifti.kipindi hiko ni kama miaka minne iliopita. Sitamsahau yule jamaa.sijui yuko wapi sasa
Kajitahidi kujichunga kumbe anajielewa mshkaji! Alivyokuwaga na appearence ya ganja nilidhan angeweza kutumbukia huko kirahisi! Big up kwake!
 
kuna wimbo alitoa 2011 mwishoni, ulikuwa ni wimbo mkali kwa kweli aliwashirikisha AY na FA, na video ilikuwa nzuri sana pia, sijui kwanini baadhi ya wasanii hata wakitoa nyimbo nzuri hawatambi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom