Machozi Yamenitoka Nikimark Midterm


Spelling za masomo ya sekondari nyingi hazipo primary, masomo ya science hususani. Ni jukum la mwl kuhakikisha mwanafunzi anaelewa hivo
 
Mimi Nilipenda Kua Mwalimu Mana Wazazi Wangu Ni Waalimu Na Sio Kweli Kua Nilienda Ualimu Kwa Kukosa Kazi Nyingine Kama Inavyotafsiriwa Na Wengi.Na Sijutii Kua Mwalimu Bali Najuta Kwanini Nafundisha Watu Ambao Hawana Output
 
Spelling za masomo ya sekondari nyingi hazipo primary, masomo ya science hususani. Ni jukum la mwl kuhakikisha mwanafunzi anaelewa hivo

Me Nafundisha Geography Na History Form One.Hao Wanaopata 92 Wao Wanapataje Na Wengine Anapata 4 Au 5 Mtihani Huo Huo??
 
Wewe mwenyewe hujui kuandika sasa unategemea hao madogo ndiyo watajua. Eti "SYLUBUS" badala ya SYLLABUS
 
Teaching allowance needed for teachers to stay up to 6pm. Do you think teachers are dogs and hogs. Are you speaking from your prepared brain or your just talking.shiiiiiiiit!teacher of today is not a teacher of those days.
 
Wewe mwenyewe hujui kuandika sasa unategemea hao madogo ndiyo watajua. Eti "SYLUBUS" badala ya SYLLABUS

Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??
 
Me Nafundisha Geography Na History Form One.Hao Wanaopata 92 Wao Wanapataje Na Wengine Anapata 4 Au 5 Mtihani Huo Huo??

Suala la wanafunzi kutofautiana marks ni la kawaida shule zote kwan wanazidiana uwezo....
 
Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??

"Koments" ni neno la kiingereza au kisukuma, wewe ni wale walimu wa division 5 halafu unabwabwaja eti una honours ya UDSM. Kama ni hivyo nimekudharau wewe na hicho chuo.
 
Kujua lugha Lazima wafanye vitu 3 was one story book sana, dictation na debates. Hapo atajifunza kusoma, kuandika proper spelling lakini debate na kuongea. Mimi form one nilisoma story book 126 na kuziadithia
 
kwa nini ajitolee,wangapi katika nchi hii wanjitolea?,au kwa sababu yeye ni mwalimu?,kwa nn akae mpaka saa 12 wakati ana kazi zingine zinaingiza kipato cha kujazia mshahara wake ambao haumtoshi?,soma vizuri umuelewe,ameomba ushauri jinsi ya kufanya ili kutatua tatizo,it either you give him/her advice or you go back to school to have your brain reorganized.
 
"Koments" ni neno la kiingereza au kisukuma, wewe ni wale walimu wa division 5 halafu unabwabwaja eti una honours ya UDSM. Kama ni hivyo nimekudharau wewe na hicho chuo.

Jaman Hapa Naandika Kiswahili Bana.Unanidharau Mana Hujitambui
 
Jaman Hapa Naandika Kiswahili Bana.Unanidharau Mana Hujitambui

Kama Huamini Kua Me Ni Genius Piga0759063942 nikupe matokeo yangu uone.Na Wewe Ulete Ya Kwako Hapa.Mimi Sifanyi Mambo Kwa Kubahatisha Kama Wewe Ulivyonunua Vyeti
 

Acha maneno meng na kuwa muwaz,yan secondary ndo ukafndshwe kusoma na kuandika kwel?na msing kaz yake nib?
 
Kujua lugha Lazima wafanye vitu 3 was one story book sana, dictation na debates. Hapo atajifunza kusoma, kuandika proper spelling lakini debate na kuongea. Mimi form one nilisoma story book 126 na kuziadithia

Wakiona Kitabu Wengi Wanatokwa Na Jasho Make Hata Kusoma Kimombo Ni Tabu
 
Kwa Hiyo Wadau Nijitolee Kuwapa English Course?Na Kama Ni Ndio Nina Shaka Mana Mtu Hajui Kuandika Hata Jina Lake Me Natumia Njia Gani Tena?
 
....Badala Ya Kuandika Legs Anaandika Leges,process-presse,before-bifore,stone-ston,monkey-mankey,fire-firs,....

.. hao watoto wako vizuri mno kwa upande wa vocabulary. tatizo ni dogo tu la spelling
 

Hapa Kumbuka Me Naandika Fasta Kujibu Koments.Sijui Kuandika Ningepata Degree Ya Honours Ya Pale Chuo Kikuu Cha Dsm??

Kwa namna hii sijui ulipataje hiyo degree of honours pale mlimani
 
elimu imechanganywa na siasa kaka..usitegemee kupata compitence students..timiza wajib wako tu mkuuuu

Mmmmh wewe. Ako kakwako kamewazidi hao watoto. Kingereza hicho rekebisha haraka kabla mwl wako ajakuona naye kuanza kulia
 
Ikumbukwe Kua Hapa Ni Kiswahili.Hata Ukichanganya Maneno Me Napenda Nipate Ushauri
 
Kwa namna hii sijui ulipataje hiyo degree of honours pale mlimani

Najua Ni Faster Ila Naandika Fasta Mana Jf Hapa Ni Kiswahili,koment-comment/s,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…