Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Mwenye contacts za Dr Slaa na meneja wa kampeni wa Chadema awapelekee haraka hii habari ya mama mjamzito kulia kwenye daladala sababu ya uchungu na hasira ya kuambiwa na Kikwete eti wajawazito watanunuliwa Bajaji. Hii hoja itawaongezea Chadema kura kibao. Huu ujumbe usisitizwe kila kampeni ya Chadema kuanzia dakika hii hadi mwisho wa kampeni. Ujumbe ukishamfikia Dr. Slaa na Baregu na Chadema kwa ujumla tujulishwe jamvini. Ni hayo tu.